JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
HADI LEO SALARY HAIJASOMA
LICHA YA KILA KITU KUWA SAHIHI.
Watumushi wengi bado wanahaha kuingiziwa mishahara yao.MTU anaambiwa hamna tatizo asubiri.Huu usumbufu unapoteza ari ya MTU kufanya kazi.
Serikali muangalie mfumo huu vzr ili kuondoa usumbufu kwa watumishi.
LICHA YA KILA KITU KUWA SAHIHI.
Watumushi wengi bado wanahaha kuingiziwa mishahara yao.MTU anaambiwa hamna tatizo asubiri.Huu usumbufu unapoteza ari ya MTU kufanya kazi.
Serikali muangalie mfumo huu vzr ili kuondoa usumbufu kwa watumishi.