Pia ni Muhimu kujua hizo tractor unanunua kwa ajili ya matumizi ya kilimo au vinginevyo., Maana hizo tractor ni Kubwa sana Kama ni kwaajili ya kilimo tu..na uendeshaji wake ni wa gharama..
Labda uangalie ndogo zake Kama New Holland 75 , Mahindra nk..
Sent from my CPH2083 using JamiiForums...
Sasa hao watabadikaje kama hawatakutana na watu wastaarab kama ninyi?!! Ukiona unaweza changia mabadiliko ya mtu in +ve way, fanya..usimseme tu..huenda hata wewe kuna watu wana kushangaa lyf style yako wanayaona ya hovyo pia.
Kiongozi pole..tatizo hasa hapo ni utundu wa huyo mtoto au wewe hutaki kulea mtoto wa mtu?
Ni kwa nini hakai na baba ake? Huenda kuna sababu za msingi...
Vyovyote ilivo huyo dogo haypo hapo kwa bahati mbaya. Haya maisha mzee yana siri sana. Mara nyingi mambo huwa yapo kinyume kabisa na...
Bwana G, wewe ni mkazi wa maeneo ya ukanda huo linapojengwa? Tuanzie hapo.. kama sivyo, basi fanya utafiti kidogo tu utajua hujui ulichoandika..
Hoja ya gharama na mapendekezo yako, hayana mashiko..hebu focus kidogo baada ya kutafiti, utapongeza kinachofanyika. Maana ni namna bora ya kuboresha...
Hivi ni kweli Mh Rais hajui analolifanya ila wewe ndio unajua kwelii?!!!!
Au wewe unamtazamo ambao unataka yeye aufuate? Shauri kiungwana .. Yule ni Rais anajua nini anafanya, wapi na kwanini. Alaf hata kama humpendi, yule anaweza kua babaako, so kua na Adabu
Hapa kuna kitu zaidi ya covid.. why leo waorodheshe?!! Hawa huenda kuna mkakati maalum wanaoupanga juu yetu..
Ila sasa tuna serikali MAKINI sana INAYOJUA.. ha ha haaa!!
Wawakazie kwanza uchaguzi upite.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.