Flamegood
Senior Member
- Oct 27, 2018
- 129
- 293
Habari za muda huu wapenzi wa JF,
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, lengo la kiuzi hiki ni kutafuta jibu sahihi ili kama kuna madhara mengine niweze kubadili mwelekeo wangu.
Mimi nimejikuta nakuwa addicted kwenye matumizi ya cm kwa muda mrefu kwa siku hadi masaa 10 nikiwa naperuzi vitu mbalimbali katika internet, Huwa sifatilii udaku, kuchart wala kutizama video za ngono bali natumia internet kujifunza mambo mbalimbali haswa nisiyoyafahamu kwa mfano; Muda mwingi napenda kusoma Nyuzi mbalimbali za JF, kusoma quotes za watu juu ya hoja zinazohusiana na Habari na Hoja Mchanganyiko na ninashuhudia zikinijenga kiakili, pia napenda kufatilia kuwapo kwa ukweli juu ya imani tofautitofauti ikiwemo Freemasons na Illuminati.
Lengo la Uzi huu ni kutaka kufahamu kama kuna athari zozote za kiafya zinazoweza kunipata kwa kutumia cm kwa muda mrefu? Ni zipi ili niweze kupunguza matumizi haya.
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, lengo la kiuzi hiki ni kutafuta jibu sahihi ili kama kuna madhara mengine niweze kubadili mwelekeo wangu.
Mimi nimejikuta nakuwa addicted kwenye matumizi ya cm kwa muda mrefu kwa siku hadi masaa 10 nikiwa naperuzi vitu mbalimbali katika internet, Huwa sifatilii udaku, kuchart wala kutizama video za ngono bali natumia internet kujifunza mambo mbalimbali haswa nisiyoyafahamu kwa mfano; Muda mwingi napenda kusoma Nyuzi mbalimbali za JF, kusoma quotes za watu juu ya hoja zinazohusiana na Habari na Hoja Mchanganyiko na ninashuhudia zikinijenga kiakili, pia napenda kufatilia kuwapo kwa ukweli juu ya imani tofautitofauti ikiwemo Freemasons na Illuminati.
Lengo la Uzi huu ni kutaka kufahamu kama kuna athari zozote za kiafya zinazoweza kunipata kwa kutumia cm kwa muda mrefu? Ni zipi ili niweze kupunguza matumizi haya.