nani tena kaka timu yetu ina mentality ya kitoto
kocha ana hype za kijinga
kuna ulazima gani wa kai kuaanza kila game
kulikuwa na ulazima wa joginho kuanza leo
kulikuwa na ulazima wa partey kuanzia full back
Arsenal players na kocha wetu hatuna maturity hasa kwenye nyakati za muhimu katika ligi...
Guys with humble voice
leo naomba mtu anieleweshe Kai Havertz anaisadiaje timu yetu, what his impact to our final third or midfield??
Binafsi sioni tukichukua makombe kama tunawapa nafasi wachezaji dizaini hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.