Recent content by rosemarie

  1. rosemarie

    Ni nini kimempata Askofu Gwajima?

    tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa??? nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa aliifata ccm ili...
  2. rosemarie

    #COVID19 Yaliyojiri JamiiForums Clubhouse kwenye Mjadala wa UVIKO-19, Umechanja au haujachanja? Nini mtazamo wako?

    serikali ya mabavu ya ccm walifanya big mistake kumtishia Gwaajima na kamati za bunge,wangekuwa weledi wangeunda kamati ya wataalam wa afya na kumuita Gwajima na kuzungumza tena live huku watanzania wote tukiona,sichanji wala sina mpango kabisa
  3. rosemarie

    Swali Fyatu: Wanaosali kwa Gwajima wako Dini Gani?

    wale wameokoka ni wafuasi wa Yesu Kristo na Gwajima ni mtumishi wa Yesu krissto,,,,,wana akili sana kwa sababu wamezaliwa upya sio kwa damu na nyama bali kwa roho mtakatifu,ni vigumu sana kuelewa
  4. rosemarie

    Ushindi wa UPDP Zambia wachina wana hali mbaya

    ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF. Africa tuna kazi sana kwa kweli
  5. rosemarie

    TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

    kuna majina tunasikilizia sana ndugai nape makamba mwigulu asante
  6. rosemarie

    #COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

    Gwajima amejitokeza front na anapambana kwelikweli. hiyo vita itakuwa mbaya sana na macho yote ni kwa Gwajima namwomba sana Gwajima akae standby
  7. rosemarie

    #COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

    Mtumishi wa Bwana Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa. Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona, Nilipozaliwa nikiwa mtoto...
  8. rosemarie

    Rais Samia anajaribu kuendesha nchi kama Hayati Dkt. Magufuli?

    Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli? Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi? Kwani zile ahadi alizotoa za...
  9. rosemarie

    Kwanini aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri hashutumiwi?

    Naomba kujua siri ya huyu mtu aliyekuwa mkuu wa Mkoa Tabora. Mbona alikuwa tishio sana kutisha wananchi na kuongea hovyo lakini hashutumiwi kwa lolote? Huyu ni mtu wa aina gani?
  10. rosemarie

    Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?

    Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa...
  11. rosemarie

    Rais Samia azindua Kitabu cha Maisha ya Rais wa Tanzania wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

    hivi unaweza kupoteza muda wako kabisa unasoma kitabu cha huyu mzee??unapata faida gani humo ndani?kwa background ip?kwa legacy ipi? kuna mwingine alikuwa anaitwa mkapa naye alitoa kitabu nasikia,mtanzania yupi??
  12. rosemarie

    Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

    Tumepenyezewa hiyo ni moja ya ajenda kujadiliwa, wanataka wakenya waishio tanzania kupewa passport za Tanzania ili iwe easy ku access sadc countries,huo ni ushenzi na upumbavu wa Wakenya, nashauri tusiruhusu ukaribu sana na hawa jamaa.
  13. rosemarie

    Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

    Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi. Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja. Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya...
  14. rosemarie

    Abattoirs: Kenya vs Tanzania

    wale masheikhe hawachinji tena??technologia bwana,,,,
Back
Top Bottom