rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili atimize lile neno linalosema if you dont beat them join them???ana mambo mengi ya siri moyoni mwake
je ccm wameshamweka kati???time will tell
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili atimize lile neno linalosema if you dont beat them join them???ana mambo mengi ya siri moyoni mwake
je ccm wameshamweka kati???time will tell