Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,807
- 11,969
Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema kuwa Serikali imepokea Dozi 1,058,400 tu hivyo Makundi ya Kipaumbele yatakayopewa ni Watumishi wa Sekta ya Afya waliomstari wa mbele, Wenye umri wa miaka 50 na zaidi na Wenye Magonjwa Sugu
Makundi mengine yataendelea kupata chanjo kadiri Serikali utakavyoendelea kuagiza