Sasa hicho alichosema ni Common sense. Sijui kwa wengine ila kwangu mimi, nimekuwa nikipinga sana umiliki wa expensive valueless assets bila kuwa na assets zenye value.
Kwa mfano watu flani kukopa nguo Za gharama kwa kila mdundiko ili hali hata pango la kuishi hawana.
Kwa huyo mzungu sijui...
Sasa wakati anafanya hivyo kwa nini huku mwambia ukweli kuhusu marital status yako.
Hivi nyie wanaume mkipendwaga kwa dhati mnaona ni muvi au ?????
Yani hapo umeshaharibu life la mdada wa wAtu na huyo mtoto atakaye zaliwa.
Mini sina hata cha kukushauri kwa kweli
You are in a deep mess
Go for...
Kama unapenda kufanyiwa massage. Jaribu kuplan
Uweze kufanyiwa pamoja na mke wako. Kwenye vibanda vya massage therapist. Mara moja moja
Kwa sababu kuna Imani imejengeka kwamba wafanya massage huchoropia waume za watu.'
Unauhakika na ulicho andika ?
Personally, napenda Lulu's taste in Fashion.
Huyo Giggy money hata kama ni umaskini sio kwa uvaaji wake.[emoji23][emoji23][emoji3]
WIVU WIVU WIVU ni kitu kibaya sana hasa miongoni mwa watanzania badala ya kushirikiana na kusaidiana watu wamekaa kuponda wenzao. Kwani mlio kua ndani ya nchi hamuwezi kuleta mabadiliko pia, au roho mbaya tu.
Nchi hii itaendelea endapo tutacha uwivu , uvivu na uchoyo...
Watu wa Diaspora...
Mawasiliano ni kitu muhimu sana. Cha kujiuliza hapo ..
Ni kama binti ataweza kuishi na jamaa aliyeomba udhamini kwa uaminifu.
Na pia huyo jamaa anampenda huyo binti au yupo desperate ???
Jamani waafrika tupende tujaribu kujikubali. Unakuta binti/ mwanaume wa kiafrika anambagua mwenzie eti kisa yupo very black. Huo ni ulimbikeni unaoturudusha nyuma.
Wewe kkimondoa
Umesoma post yangu ukaielewa au shobo tu. Ndo maana wa tz wengi mnafeli badala ya kuchanganua akili kutatua tatizo mmekaa kujibu watu negatively.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.