Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,003
- 2,133
Mi nimehisi ni umbea wako tu umesimuliwa kisa break ya kwanza ukaja jfWewe unahisi nn
Mi nimehisi ni umbea wako tu umesimuliwa kisa break ya kwanza ukaja jfWewe unahisi nn
okMi nimehisi ni umbea wako tu umesimuliwa kisa break ya kwanza ukaja jf
Ukitaka kuwa na ndoa Ngumu basi oa Mchaga!!!
Duh pole binti mchagaI feel offended!!
Kwani wachaga wana nini
Hawawezi kuwaua hao kwasababu itakuwa exposed sana na Taifa zima litajua, na isitoshe hao wana pesa isiyo na kikomo...kama wangejua kuwa hao wanaume wanaweza fulia muda wowote basi wangeshafanya yao.Mnachekesha kweli: ingekuwa wanawake wa Kilimanjaro wanaua wanaume zao wakishapata mafanikio basi wengi wangekuwa marehemu sasa akina Mkapa, Chenge, Wenje na wengineo. Kama ukiongelea makabila yenye wanawake wanaoua wanaume wakishapata mafanikio au watoto wao wakiwa wakubwa usiwaache WASUKUMA
I feel offended!!
Kwani wachaga wana nini
Wachaga wakiolewa na kabila tofauti na wao huwa ni shida, walio wengi huwa wanamfanya mwanaumwe aonekane choo
Hiz ndoa zinasumbua sana watu kwa sasa, mmeamia kwenye makabila sasa,
mkimaliza wachaga,
tuje wahaya alafu
wanyakyusa wafate. . .
Ukweli unatabia mbili: 1 unauma 2.HaufichikiMti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe.
Ukweli unatabia mbili: 1 unauma 2.Haufichiki
Hakuana aliyekamilika chini ya jua, kubalini mapungufu yenu kama ili kutafuta ufumbuzi!!!
Wamekuwa samaki!Haya makabila mengine wako vizuri sana kimapenzi, wengi wako hot. Wachaga wazuri machoni, wengi wa baridi
Avatar yako kweli inaendana na point point point yakoKubafu zao wote wabaguzi wa makabila kwani k nazo zina ukabila