Sio mara ya kwanza watanzania kuchezewa akili.na taratibu Kuna Cku wataweza kupambanua maswala yanayowagusa Kwa akili yao bila kuckiza upande unaohc unaonewa.mfano mzuri ni swala la mgomo wa madaktari;serikali iliwalaghai watanzania Kua madaktari wanagoma ili waongezewe mshahara kitu ambacho...
Yaan bora labda ungesema mliachana Kwa kigezo cha Tofauti ya Dini Kweli ningeamin wampenda.ila Kwa kigezo hcho hzo ni tamaa zako za mwl ucmzngizie shetani Na ucdanganye Kua wampenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.