Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

Mistari kwenye hip hop ya Bongo ilitia fora

"Dunia tambara bovu nalidekia kwa shida,najaribu kui'solve bila kutumia four figure". "Umasikini unanipodoa bila kutumia cosmetics,daily unanizodoa unanivuta kama magnetics".

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

mistari ya hako kajamaa hainaga mantiki,inaele elea hewan!
 
Wale wakongwe wenzangu watakubaliana nami kuwa Hip Hop ya Bongo haikuwa nyuma katika mistari makini ,majigambo na style za kutisha. Kwa sasa wapo vijana wanaoweza kuuendeleza Music huu hapa Bongo ila kuna vionjo vinakosekana haswa matambo ya kipindi kile.

Hebu tujikumbushe tambo za enzi zile sio mbaya pia ukaweka tambo za mistari ya kipindi hiki.

Prof Jay (Nigger jay)-wimbo wa Funga kazi(HBC)

''Kwa Jay mtapata maneno makali na mengi ya kashfa mfululizo,
Iwe ni onyo na funzo,
Kwa wanye kelele pasipo uwezo,
Wanatumia vigezo,
Unataka kurap pasipo na nyenzo,
Hayo ni mambo ya chezo,
Kutokataa maelekezo wakati huna uwezo''

Imam Abas -wimbo mitaa ya kati
''Niguse bahati mbaya ,nikuumize makusudi''

Mr. II-Sugu (II Proud)-wimbo mikononi mwa polisi
''Afande anataka kilo,
Mfukoni mimi na zero,
Nazidi kuwa mwenyeji ndani ya sero,''

Simple X -wimbo Nawakilisha
''Natikisa bongo visiwani mpaka bara,
Nimekuwa kinara ,
Kila kitengo mi nang'ara,''

Endelea....

tathmini ya kweli inawatia majaribuni na mnaovunja miiko ya rap jihukumuni-prof J

wengine nawapa offer za bia bado wananiita...we bishooo tu-Jay Moe
 
Range vitz zote znafika disco-fa
ukizingua unapigwa ---- kama mzinga wa konyagi_one incridible
hizi milioni milioni ndo zinaniumiza ubongo,mwanangu atarithi nini nispokua entreprenegro_fa
ukitaka ujue umuhimu wa ma.---- kalia kichwa_jay
 
We dada njoo kwangu ucheze mwenyewe,
Kama unahisi huko uliko unachezewa.....by young killer
 
Naogopa kuoa nikimsikiliza fa by sugu
Fa unalalamika sugu amekuita boya,huo ndo ukweli usichukulie poa by kinega
Me nilimega kinguonguo ------- wakafanya kweli by fa
Hip hop ninafurahi kuwa wako,hata usiponipa mtoto nitafurahi kuwa anko by one
Demu wako kanipenda brother man huna chako, subiri mtoto azaliwe uitwe uncle by madee
kuvaa tai na suti sio ndo kupendeza wengi washanyonga sana na wamelala juu ya jeneza by ngwair
 
Super matimila nawatupa mkizila,Christopher NAUA kila mti wananiita MTIKILLER! by Songa.
 
hakuna s bila o l bila o mwingine aitwe thang bila solo shupavu awajipike kapa appollo jay afande ni ukuta wapi uchochoro
 
unafika home nyumbani, unamkuta mamako kibarazani anakwambia kwenye hii gemu umefunikwa na joh makini, mwamba wa kaskazini
joh-makini _dkk 90
 
Inahitajika umachale na umakin usilale ili wale wasikulishe ujinga wakutawaleeee.....shughuli nyingi chap chap chapaa isilaleee...by joh makin
 
Back
Top Bottom