Recent content by roksamet5

  1. roksamet5

    Bunge likiendelea na msimamo huu nchi hii itasonga mbele

    Kwa sasa hakuna zambi ninayoogopa kuitenda kama kumuamin mwanasiasa.. huyu mtu ni zaid ya shetani.. mtu unataka kumsifia mbunge kuwa kabadilika hahahahaha shetani ananjia nyingi sana za kumlagai binadamu.
  2. roksamet5

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Huyu jamaa ndo mwandishi pekeee tz mwenye akili timamu, rais kashindwa kujibu swali lake kwa 100% .. pole rais wetu kwa kukimbia swali
  3. roksamet5

    Series (Special thread)

    Hello guys nataka new series ya action kwa hollywood
  4. roksamet5

    Series (Special thread)

    Wakubwa mzee wa 24 hrs jack bour karud na series mpya inaitwa designated survivor.. now ip epsod 2 usiipite jamaa
  5. roksamet5

    Nacte second round washapanga vyuo

    Kumbe ni watu wa diploma na chet nikajua undergraduate guys
  6. roksamet5

    Nacte second round washapanga vyuo

    Mbona wengine hakuna kitu, ebu nipeni maarifa ya kuona iyo kitu wakuu
  7. roksamet5

    Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

    Huyu jamaa na uongoz wake lazima watafyata tuu mkia, coz hana deplomacy kwny bzness za watu, bora angekusanya kodi tuu ila hatoe huo ubabe na urasimu kwa hawa watu, lazima ajute kwa nn anajifanya dikteta
  8. roksamet5

    Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

    Bro hivyo viwanda vipo wap labda tuone iyo ajira.. kwanza toa ushabiki katka suala la ajira coz hakuna mtu hasietaka kufanya kazi ila system ya ajira unaijua saana tz..
  9. roksamet5

    Mbowe: Sidaiwi hata senti NHC

    Hii vita bora tukae kimya tuu sis wananchi coz tuna mengi yakufanya, NHC, MBOWE NA SERIKALI wanajuana sana na toka kitambo utakuta hilo deni wanapeana 10%. Na hiyo mahakama hakuna ile honestly coz now its running under Someone say
  10. roksamet5

    Nani alimchagua mkalimani(translator) wa Magufuli?

    Hahahahahaa mimi naona waendelee tuu kubolonga coz huyu jamaa hataki kuambiwa vitu, km yy prezdaa kwa nn asiwe anachomekea ata kalugha ka watu ila kisa hajui yai ndo maana
  11. roksamet5

    Juma Nkamia: Mnataka muonekane kwenye TV watu wazima kwani mnatafuta wachumba?

    Bora itumike bil4 ya bunge kuona kinachoendelea kwa ajili ya jimbo langu kuliko kuzunguka na mwenge na kufanya uzinifu na uchafu zaid..
  12. roksamet5

    Ushauri: Rais Magufuli mfutie kesi kijana huyu

    Kuna watu kama mwinyi alipigwa na mwananchi lakin kesi ikaishia hewan, kuna watu km bush wa marekani kupigwa na viatu lkn lilikuwa ni jambo la kawaida.. Leo hii kusema rais bwege ndo iwe kesi... Hapa rais wetu lazima awe na hekima za kileo bana.. Kuna watu wametukana viongoz zaid ta uyu magu...
  13. roksamet5

    Laana ya mwanamke

    Unapaswa kusamehe coz kwa namna nyingine unaumia kuona yupo ivyo kwa sasa kwa sababu unampenda thus why hauwez msamehe .. Msamaha ni njia sahihi ya mafanikio kwako na kwake.. Naamin 80% ya vijana wa saiz kuanzia 20-35yrs wengi wao wana kidonda cha kuumizwa kwa jinsia zote mbili iwe ameoa...
  14. roksamet5

    Magufuli ameshusha mshahara wa Rais au ameshusha mshahara wa Magufuli kama Rais ?

    Watanzania sisi ni walalamikaji sana.. Mimi mwananchi wa kawaida pale napoona raisi anapata ujasiri wa kudeclosure mshahara wake lazima nijue uyu mtu ana nia nzur na ni moja ya strategy ya kuencourage wananchi wake wajue hana nia mbaya kuwa pale ikulu..kama ilivyokuwa kwa aliepita ambae ata...
Back
Top Bottom