Mimi Nimeweka kwenye simu yangu toka mwezi wa kwanza simu ipo vizuri tuu.Imedondoka Mara kibao lakini ipo vizuri tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu aliyemaliza form six mwaka 2013 mwaka ambao JKT ilirudishwa.. Huwa nakaa najiuliza Ivi hiyo mitihani walisaisha au walifanya nini.
Maana matokeo ya mtihani wa mwaka huo yanabaki kuwa historia katika nchi hii. Ni mabaya haijawahi kutokea kabisa.
Pamoja na kuwa katika shule ya vipaji...
Mimi navoona social security institutions hasa hasa hii ya wafanyakazi wa sekta binafsi (NSSF). Ingetoa mafao ya hao walimu ili watumie kujikwamua katika kipindi hiki kigumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ana madini mengi sana katika kichwa chake.. Ashawahi kuwa mgeni rasmi sehemu fulani.. Hakika nlifurahia sana hotuba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huu ndo wakati wa kujua huruma za waajiri hasa hasa kwenye shule za private.. Tutegemee walimu wa private kuwa affected zaidi na hii Hali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanjo nyingi sana za ugonjwa huu zinafanyiwa majaribio.. Hopefully mpaka kufikia June kinga itakuwa imepatikana.. Tuzidi kujikinga tuu kwa kufuata muongozo kutoka wizara ya afya pamoja na wataalamu wa afya.. Asubuhi ya leo Nimesoma sehemu flani wanasema Kuna chanjo zaidi ya 70 zimeshatengenezwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.