Kuna tecno za laki tano na kuna samsung za laki na 70 sasa iweje tuishie kuona kwenye tv? Kama mtu kaweza nunua tecno ya laki mbili atashindwaje nunua samsung A2 from india?Tecno simu za wanyonge,itabaki kuwa ya wanyonge kutokana na teknolojia yake,huwezi linganisha na Apple au Samsung au Nokia.
Ila isingekuwa tecno wanyonge wangeishia kuona smartphone kwenye TV.
Sent using Jamii Forums mobile app

