Muwongo mkubwa mtu wa kujikweza yanga c kajiweka mwenyewe kwa pesa yake. Ubunge kapigiwa debe saana na mh. Aliyepita na best wake mtoto mtu. Yeye anadhani kwa kivuli cha vyeo v yake ndo aachwe kwa kuchukua beach ambayo watu wote wanafurahia magufuri amesema hatojali kiongozi yoyote serikali yake...
We are tired. Marumbano hayana tija mh. Fuata nyayo za diamond usijibizane na news au kamata shitataki. Uchaguzi umekwisha. Rais wetu kasema kwenye salam za Christmas tupendane tupige kaz[/URL]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.