Kwa maelezo yako inaonyesha hii habari ni uzushi unataka kumchafua Mtu.Wewe unapesa gani ya kusamehe ovyoovyo acha hiz😵NYESHA MKATABA.Ninataka kumshtaki Rose mhando kwa utapeli. Tafadhari naomba wabobezi Wa kisheria hapa Ndani. Mara ya kwanza niliandaa tukio tanga hakutokea sbb alipata ajali, nilimlipa nikasamehe. Mara ya pili niliandaa tamasha Morogoro.. Nikamlipa hakutokea kwa maelezo aliyojieleza.. Mara ya tatu nimeandaa tamasha Tanga hajatokea tena mara hii nikiwa nimeandikishana nae. Kilichoniuma zaidi ni pale aliponidanganya kwa kutaka pesa zaidi na kuniambia yuko njiani anakuja nimtumie pesa ya mafuta ya Gari.. Kumbe hata wazo la kuja Kwenye tamasha. Hana mpaka sasa ameshakula zaidi ya milioni nne kwa style. Tofauti je naweza fungua kesi mahakamani. Naomba msaada. Sasa hivi nilimpigia simu hapokei..
Kwa maelezo yako inaonyesha hii habari ni uzushi unataka kumchafua Mtu.Wewe unapesa gani ya kusamehe ovyoovyo acha hiz😵NYESHA MKATABA.
Fedha zenyewe Wanalipa ndogo million moja, mbili . Rose ni mwanamziki mkubwa watampaje fedha kidogo kiasi hicho?Kwa maelezo yako inaonyesha hii habari ni uzushi unataka kumchafua Mtu.Wewe unapesa gani ya kusamehe ovyoovyo acha hiz😵NYESHA MKATABA.
Halafu watu wanampendea nini huyu mama? Make mimi huwa naamini Rose hana kipai cha kuimba zaidi ya kulazimisha kwa kurukaruka na kupiga gwaride, Na ishu ya kutapeli nisha isikia mahali kwingi sana wewe ni mtu wa tatu nasikia analalimika katapeliwa na Rose Muhando,
Ila mimi hata Bure siwezi mualika
Nimejitahidi mno kuwa mstahimilivu nimeenda kila mahali panapostahili. Nimejitahidi kumtafuta ana kwa ana bado ananikwepa simu zangu hapokei tena kinachokera sio mkweli ni muongo mpaka inatisha...sio Mimi peke yangu wengi sana wamelia lakini tumekuwa tukiishia kunung'unika tu kiroho kuwa tunamuachia Mungu bt ilipofika nadhani hata Mungu mwenyewe anatuona wapuuzi.!! Huyu kama kweli bado yupo kiroho basi so kwa walio karibu sana nae.!! Naomba unishauri mpendwa namna niwezavyochukua hatua.
Fedha zenyewe Wanalipa ndogo million moja, mbili . Rose ni mwanamziki mkubwa watampaje fedha kidogo kiasi hicho?
Wagogo ni ombaomba nyau wewe, mkitaka muheshimike acheni tabia ya kuombaomba.Acha ukabila nyama we kwani wagogo unawaonaje ukome kuzalau kabila za watu
Wewe mwenyewe tapeli. Rose c ana meneja wake Alex msama nenda kamwone msiharibiane kwenye mitandao ok