UDSM kimekua chuo cha ajabu sana, kuna kipindi kiliitwa majalalani na hili halikupingwa, kuna kipindi wasomi wa hapo walitumika kwenye kamati mbalimbali za kiserikali mfano walikaja na matokeo kuwa kuchafuka kwa mto Mara imetoka na vinyesi vya wanyama (Ng'ombe). Udsm bado ina wafanyakazi ambao...
Hii ni hali ya kutojielea kua yuko position gani katika nchi hii. Kwa hakika kiongozi wetu huyu kachoka akapumzike kwa sasa maana hii ni kama kuidhinisha watu wauane.
Le Mtuz big up kwa kuamka usingizini marekani inatakiwa uweunatoa mada kama hizi kila mara na hasa kwa blog yako.
Sio kuponda kazi nzuri inayofanywa na wapinzani wenu.
Katiba sio ya kuamuliwa na sisiem wala kikundi chochote kile, inatakiwa iamuliwe na wananchi at large Wile unachemka (imaomesha kukaa kwako marekani unaona ni dili sana kilaukihojiwa unataja marekani Duh!! Wewe ni reduced mind kinoma.
Wabunge wetu katika bunge la Tanzania tujifunze kujieleza kwa kiingereza maana inatisha na kutia kinyaa. Leo kuna wabunge kadhaa pamoja na madam speaker wamekua wakijikoroga kujieleza kwa kimombo na hata pale speaker aliposema honorable mchu.. reverend.. Hii inaonyesha ni jinsigani wabunge...
Fikira zako ni mbofumbofu. Sio kila vurugu ni za kichama tu mkuu fikiria kabla ya kua na mambo ya vyama kulikua hakuna vurugu. Tatizo ni kwamba wenye pikipiki wanamakosa yao na hata ukimgonga mwendesha pikipiki kwa makosa yake mwenyewe wenzake wanakuvamia na kukupiga hata kuku-ua kabisa. Hilo...
Duh! Hii inaonyesha ni jinsi gani wabunge wetu waSISIEM wanavyojua kutudanganya, na la pili wanakua hawajui kitu kinachoelezewa wao ni kupinga na kurusha madongo bila kujua ukweli uko wapi. Mfano mbunge mmoja wa viti maalum wa pwani alikua anaongelea issue ya social securty fund withdrawal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.