JK kufanya uamuzi mzito 2013

JK kufanya uamuzi mzito 2013

Atatoa taarifa juu ya lizi alivyo taka kunyongwa huko china na kufanikiwa kuwahonga wachina gesi ya wana mtwara nasasa ameshindwa baada ya mtwara kuja juu
 
Uamuzi mgumu ninaoutalajia ni kutangaza sasa Ikulu ndogo yake ataiamishia Marekani na siyo Dodoma tena ili kupunguza gharama ya kwenda Marekani kila wakati, hii itampa uhalali wa kukaa Marekani hata miezi 6 bila kurudi Tanzania kama anavyofanyaga Lipumba.
 
Kikwete ni mstaarabu sana,
hayupo tayari kuendelea kuwakandamiza watanzania haki zao kwa
kulazimishwa na mafisadi.
Kikwete atatangaza kujiunga na chadema

Koma wewe! Chadema cyo dampo la kupokea takataka zote.
 
NATABIRI JF ITAKUWA NA MEMBER WENGI MWAKA HUU KULIKO MWAKA JANA... Hahahahahahaaahahaha
 
Let`s pray for the best...kwa sabababu akifanya maamuzi ya hovyo sisis tutakap umia,lkn mleta uzi amesema uamuzi huo utaungwa mkono kwa asilimia 100......acha tusubiri

Ni kweli. Ataishangaza dunia ima kwa kutofanya uamuzi wowote mzito na wa maana au kufanya uamuzi mwepesi na wa hovyo badala ya uamuzi mzito. Tushamzoea na sanaa zake. Ni ajabu kuwa na rais ambaye hawezi kuwa makini hata dakika moja. Yetu mecho.
 
Kikwete ni mstaarabu sana, hayupo tayari kuendelea kuwakandamiza watanzania haki zao kwa kulazimishwa na mafisadi.
Kikwete atatangaza kujiunga na chadema[/QUOTE

Siku zote wampinga , leo hii wamkubali . Kweli ndio wote mtampigia magoti na kuomba
 
Koma wewe! Chadema cyo dampo la kupokea takataka zote.[/QUOTE




Kama ingekuwa hivyo ingekuwa bora sana, ila oil chafu zote za CCM huchukuliwa na CDM na vyama vingine vya siasa, sasa hapo utasemaje kuwa sio dampo lakupokea takataka ? CDM ndio dampo lenyewe.
 
Ataanzisha kikundi cha waasi kiitwacho Unit for Patriotic Army (UPA) ilikumsaidia ajiongezee muda wa kuitawala Tanzania kwa miaka mingine 10.
 
Atatekeleza msema wa Pinda liwalo na liwe kwa kumvua gamba Lowasa.
 
Ataitisha uchaguzi wa ghafla baada ya nchi kumshinda na kukabidhi wapinzani CHADEMA
 
Kamaliza kuuza Wanyama wote porini. kinachofuata atatuuza wote kwa nchi fulani pande fulani za dunia. Atakae goma kipigo mpaka kufa.
DSC_0282.JPG
 
Atajitangaza kuwa RAIS wa Maisha na Riz1 kuwa waziri wa Ulinzi ya JKT
 
mkuu picha ya vijana wetu IFM wakila kichapo japo.
 
Kikwete ni mstaarabu sana, hayupo tayari kuendelea kuwakandamiza watanzania haki zao kwa kulazimishwa na mafisadi.
Kikwete atatangaza kujiunga na chadema

U make me happy
 
Back
Top Bottom