DC Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza amewaagiza walimu wote kufanya usafi katika vituo vyao vya kazi kuanzia saa kumi na mbili na nusu asubuhi mpaka saa nne asubuhi kila Jumamosi ya kila wiki kuanzia kesho na mahudhurio yatakuwa yanachukuliwa.
My take: Mwl anaye amka kila siku asubuhi Jumatatu mpaka...
Tofauti ni arround million moja na laki nane, kumbuka wanawake nao wamebadirika sana vijana wafanyakazi wa serikari na sekta binafsi ambao hawaonekani mikutanoni, hivyo tegemea maajabu makubwa, fanya utafiti kidogo kwa waalimu vijana wa sekondari na shule za msingi utatwambia
...
Kama wewe ni mfanyakazi, nenda jengo la CCM karibu na kastamu ghorofa ya pili upande wa kushoto utaona kibao kimeandikwa mikopo rahisi; wanahita recent salary slip moja, bank statement; kitambulisho cha kazi na picha mbili. wanakupa mkopo ndani ya siku tatu.
Wakuu nawasalimia katika jina la JF ;
Napenda kuwashrikisha katika sherehe yangu ya Miaka 25 ya kujua kusoma.
Leo nimetimiza miaka 25 tokea nilipojifunza kusoma. Katika kipindi hiki nimenufaika sana. Nimeweza kukuza maarifa yangu katika nyanja mbali mbali.
Katika kusherekea Miaka 25 ya kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.