Recent content by Richman

  1. R

    Nimechanganyikiwa na Simu ya mtarajiwa wangu

    Pole sana, hapo hakuna ndoa, inaonekana wazazi wa huyo binti, hawataki umuoe binti yao, haina logic, aende safari ya mbali wakati amebakza mwz mmoja tu.Jipe moyo kua makini katka matumizi ya pesa za michango itakugharimu. Nnachojua mimi ni kwamba ndoa nzuri ni ile iliyopata kibali kwa wazazi wa...
  2. R

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    Asante ila hii battery ni nzima coz ikishapoa tu, nikipga jino moja tu inawaka
  3. R

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    @SofiaKitwana, Asante sana sister mana kama kugoogle nmegoogle sana tu, bila kupata jb sahh
  4. R

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    Nashukuru kwa ushauri mana nimegoogle mpaka basi naona chenga tu
  5. R

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    Nna gari aina ya Suzuki Samurai, ambayo ki ukweli iko kiuchumi kwenye ulaji wa mafuta na hata bei ya spea zake. Tatzo imeanza kusumbua, naiwasha vzr naondoka, baadae inaanza kumiss, then inapoteza nguvu na kuzima. Nikiiwasha tena kwa muda uleule haikubali mpaka engine ipoe kdg, ndo inawaka...
  6. R

    Nini Tofauti ya TB Joshua na Mwingira??

    Mada yako ni tofauti na ulichokiandka, hii inamaanisha kua, you have a message behind the message. Lengo lako si kujua tofauti zao kwa kua tofauti zao zko wazi. Ushauri wangu kwako ni huu: Swala la hukumu kwa watu, wakiwamo watumishi wake,libaki kwa Mungu mwenyewe, coz yeye ndo anajua, ipi...
  7. R

    Nimemaliza Degree ya Ualimu nataka niunge, je ni kozi gani nzuri niombe?

    Ushauri wangu kwako ni huu, kasome Msc HRM.Itakua nzuri zaidi kama utaenda kufanya kazi ya ualimu huko ulikopangiwa, ili hyo kozi usome ukiwa kazini, i mean usome evening class kama uko mjini. Hii itakupa nafasi ya kusoma ukiwa kazn, so kazi somehow itakusuport. Kwahyo utajikuta unamaliza...
  8. R

    Hii staili ya kujibu maswali inakera!!

    Huyo anaepga cm ucku wa manane halafu anauliza umelala? dawa yake ni kumjibu unaotea jua
  9. R

    Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

    Kwahyo kama uzee mwisho Chalinze, underskirt mwisho wapi?
Back
Top Bottom