Man tindwa
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 301
- 43
Cha msingi ni kufanya utafiti ni masters gani unaweza kufanya ukiwa umesoma undergraduate ualimu hilo ndo la msingi coz kuna masters ambazo hauwezi ukasoma kama engineering,law sijajua kwenye biashara kama unaweza kufanya masters cha msingi fanya huo utafiti ila unaweza kwenda kufundisha na kutafuta fursa za business na kupata a lot of money