Recent content by Richie the boss

  1. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Mtanzania, Henry Kiherile apigwa risasi na kufariki huko Houston, Marekani

    Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi.
  2. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya Mbezi Afrikana

    Aksante kwa taarifa ndugu
  3. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

    Nadhani kama utaonana nao basi ni bora ukawauliza wao maana hilo ni swala tata kwa kweli.
  4. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya Mbezi Afrikana

    Je ndiye alikuwa anaendesha hilo gari?@Papaa Kinyani.
  5. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Ch10,ITV,Star tv na TBC1,jirekebisheni uchambuzi wenu wa magazeti unakera

    Mheshimiwa Rais mwenyewe anasema anapenda sana uchambuzi wa magazeti wa Clouds Tv,acha waendelee na mambo yao watakuwa wanajiangalia wenyewe studio.
  6. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu madaraja yanayojazwa kwenye leseni ya udereva

    Matendo Adrew umejibu sahihi na uzuri mfano ni wako mwenyewe,nadhani mhusika kakuelewa
  7. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya Mbezi Afrikana

    Baadhi ya picha za ajali hiyo
  8. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Ajali mbaya Mbezi Afrikana

    Labda tuweke namba tu ya gari kama mtu anaweza kuifahamu anaweza toa msaada. T598BEL TOYOTA LANDCRUISER
  9. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kutumia vyombo vya habari kupotosha umma?

    Nachukua nafasi hii kutoa malalamiko yangu kwa wana jamii, Siku ya leo kampuni ya TanzaniteIne Mining LTD iliyoko Mirerani Mkoani Manyara imeleta wahariri na waandishi wa habari takribani 20 kwa ajili ya kuja kuandika habari zao kuwa hawana matatizo yoyote na wafanyakazi na wanakijiji...
  10. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari msitumike kukandamiza wananchi

    Wawekezaji wamelata wahariri kutoka Dar na wanaingia hapo mgodini kesho jumatatu 14 march kwa lengo la kuzuia habari za uovu wa Tanzaniteone,kwa nini siku zote tangu wapewe mgodi hawajawahi kuwaleta?Lengo lao ni kuuuwa habari za uovu wa Tanzanite one maana mhariri ndiye mwenye maamuzi ya kusema...
  11. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

    Kwa asiyeona haya atakuwa kipofu,huyo katibu mkuu nani alimtarajia?haya kama ulivyosema tuweke akiba ya maneno
  12. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kutisha! Mwizi wa pikipiki aua, naye auawa!

    Dah hiyo kweli itakuwa inatisha sana mkuu,nadhani habari tu zinatosha
  13. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Geita Gold Mine wagoma, hakuna kuingia wala kutoka mgodini

    Hawa wawekezaji kikweli idara ya ulinzi sehemu za kazi hawaijali kabisa,bora wawafanyie hivyo,utaona kesho wanawapa haki zako.
  14. Richie the boss

    JamiiForums Tanzania Abiria 17 waliokuwa wanasafiri kwa Basi la Kampuni ya BATCO wanusurika kifo

    Manyrere sijaelewa umempinga jamaa nini na wewe umeeleza nini,maana jamaa hajasema waliokufa ila katoa taarifa za majeruhi tu.
Back
Top Bottom