Recent content by Rich Ommy

  1. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Wazazi tunaochapa watoto under 3 years tukutane hapa

    Kuna dogo hapa ndani umemkataza kufanya hikii baada ya sekunde 5 kashika hilii.. yaani ni mwendo wa kuongeaa mpka ehhh unaona labda nimshtue na kakofi atashtuka.. lakini wapii sekunde 20 baada ya kofi cycle inarudiaaa😂 inabidi ucheke tuu unamuachaa.. ukimuachaa tuu jiandae na loss
  2. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0302
  3. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia Januari Makamba hakuleta maendelo yoyote Bumbuli

    Saasaa sisi tunakaa majimbo full poverty lkn tukifika bumbuli tunashangaa tunajiuliza huku vipi mbona pamechokaa bora kwetuu..
  4. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia Januari Makamba hakuleta maendelo yoyote Bumbuli

    Serikali ni chombo cha kutendea… yeeye Jukumu lake ni kudai, kusimamia, na kuhakikisha serikali inatekeleza majukumu yake kwa wananchi wa jimbo lake. Hawana maendeleo kwa maana hamna anaye wadaia maendeleo yao.
  5. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia Januari Makamba hakuleta maendelo yoyote Bumbuli

    Kama hujawahi fika bumbuli unaweza fikiri wanamkashfu mwamba.. funga safari nenda bumbuli alafu njoo ucoment hapa😒😒
  6. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania vitu vinatembeatembea mwilini

    Kafanye evaluation ya maumbile ya seli zako za damu.. pima na kiwango cha vitamin B mwilini mwako..
  7. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya kiroho mechi ya Yanga na Simba. Yanga atashinda

    Mbona hawajarudi ku-appriciate😂
  8. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wana JF

    Acquire knowledge and serve with compassion doc.. siasa ipoo
  9. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Vishilingi kichwani msaada wa dawa

    Tumia griseofulvin kidonge 1 kwa week 6.. hio ni minyoo kapime na choo
  10. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Mitandao wa Voda na Airtel wamefuta huduma ya kuongea na mtoa huduma kupitia namba 100?

    Pitia kila chaguo huez kosa njia ipo[emoji3][emoji3] ila nahisi sometimes kuna sisi wateja shida kidogo tuu tunawatwangia Wanaonga huyu kero ngoja tumuekee menyu yenye haina “bonyeza sufuri kuongea na mtoa huduma wetu”[emoji24][emoji1787][emoji1787]
  11. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Mining ni pesa isiyo na jasho

    Change ur mindset.. kuna mambo yanawaingizia watu pesa kiasi kwamba ukiambiwa unaweza mcheka anaye kwambia.. #tuwewadadisi
  12. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Niulize swali ili nijipime kiakili (IQ Test)

    Huenda bado anachakata till 2020
  13. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Me nliambiwa et ni kawaida niwe nawacomb nipunguze kuwaoshea dawa..
  14. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Rumba ni mziki pendwa Afrika nzima

    Fally maria PM
  15. Rich Ommy

    JamiiForums Tanzania Aisee!!, Saizi asubuhi asubuhi nimemaliza elfu saba(7,000)

    Mbona 5000 ingetosha kabisa kula vyote hvoo.. Ngano robo 300 ( nilipo kg ni 1200) Nyama robo 1500( nilipo kg ni 6000) Parachichi na embe 1000( kwaajili ya juice) Maji 1000 Vocha 1000 Jumla =4800/= Kwenye 7000 umesave 2200 .
Back
Top Bottom