chama kilichojichokea na dhaifu cha mizigo almaalufu ccm kinaongozwa kwa kurithishana madaraka mithili ya enzi za machifu na hakuna nafasi kwa watoto wa maskini kupata madaraka.january makamba,vita kawawa,nape nnauye,ridhiwani kikwete,fredrick lowassa,hussen mwinyi na wengi wengi ni matokeo ya...