RICH MAVOKO
Member
- Dec 10, 2013
- 35
- 16
Tanzania ni nchi yetu sote bila kujali tofauti zetu,naomba tuweke kando tofauti zetu za kivyama na tujadili ujenzi wa taifa letu kwa miaka 50 ijayo.nini kifanyike ili tanzania isonge mbele.
Tanzania kwanza,vyama baadae
Tanzania kwanza,vyama baadae