Ni kweli wangetukata hata 20% ambapo deni unamaliza mapema.Mimi iyo asilimia 15 ibaki maana nimebakiza 3.8 mil,deni likikaa muda mrefu linaathiri Mikopo ya Benki maana Makato yanaongezeka kadri ya nyongeza ya mshahara.
Mimi nilikunywa Valuu Ile chupa kubwa,nilivyoamka asubuhi nimesahau hata nyumbani nilifikaje.Nikijisachi pesa ipo,nguo nilizovaa ni safi,Simu ninayo.Nikashindwa kuelewa
Hivi ni Nani aliyewakalilisha watanzania kuwa ardhi haiuzwi?Mali yoyote inauzika,hata Leo ukiwa na pesa ukiingia USA watu wanauza ardhi/nyumba sembuse hapa bongo.
Siku akikugeuka utaipata fresh,haina haja ya kukimbia lipa tu taratibu litaisha.Mimi nalipa laki 1 Kila mwezi na zimebaki milion 4,hivyo siishi Kwa wasiwasi na mikwara Yao.Ila Kwa mfumo waliouweka now hata ukimiliki nyumba 20 watajua tu hasa Kwa watumishi WA umma wanaofisadi unless uandikishe...
Wacha waliwe tu,unakubalije kukatwa mshahara wako kwenda CWT.Mbona Kada nyingine ni hiyari kujiunga!!!Mtaendelea kupigwa na wajanja then watawapoza matisheti ya cwt.
Sasa hapo hasara itakuwa Kwa hao vijana, maana waliopewa mgao kama mawakili na wadau hawawawezi kurudisha pesa. Hapo mwana FA na AY inabidi wahangaike wenyewe ikiwemo kuwalipa mawakili upya. Nilichogundua mawakili wengi ni watoto WA mjini
1.Kujua uhai WA account yako
2.Kujiridhisha pasiko Shaka juu ya umiliki WA account ikiwemo majina uliyotumia kusajili, Je yanafanana na majina uliyosajilia NSSSF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.