MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,706
Nini huwa wanataka kuona kwenye 'Bank Statement' kwa wale wanao jaza fomu za mafao ya kutokuwa na ajira? Wanaojua siri ya wao kutaka 'Bank Statement' wanisaidie nisije ingia kichwa kichwa ikala kwangu, na je kama nina account mbili za bank inakuwaje hapo?