Ricecooker
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 501
- 896
Mimi nawapongeza kwa kuwakata,kila MTU achangie Uchumi wa nchi hii.Mbona wa mjini wamewezesha REA kwa muda wote.Ipo wazi mpaka sasa nyumba zote zenye umeme wanakata kodi ya jengo bila kujali ni mjini au kijijini pia nyumba ya tofali au ya nyasi ....hawa jamaa wanataka hela sana bila kujali utu.
Zipo nyumba ukinunu umeme wa 5,000 unatumia hata miezi 4 sasa hapo ukija kununua tena unakutana na deni.
Bado tozo hii inaongeza mzigo kwa wananchi.