Wakati wananchi tukiwa tunashuhudia sera za serikali za matokeo makubwa sasa! {BIG RESULTS NOW} wanafunzi wa shule za bodi wamekua wakipata chakula kwa kusuasua kutokana na migomo ya wazabuni wa vyakula shuleni. kwa hali hii sijui hayo matokeo makubwa yatatoka wapi? ni sawa na ile slogan ya...
Wakati wananchi tukiwa tunashuhudia sera za serikali za matokeo makubwa sasa! {BIG RESULTS NOW} wanafunzi wa shule za bodi wamekua wakipata chakula kwa kusuasua kutokana na migomo ya wazabuni wa vyakula shuleni. kwa hali hii sijui hayo matokeo makubwa yatatoka wapi? ni sawa na ile slogan ya...
tatizo letu waswahili tunahitaji ushauri lkn tumeshajichagulia nini cha kufanya. tunahitaji mtu anae ungana na mtazamo wetu, ikiwa ni tofauti basi hakieleweki. kitug
Kwa Kweli Mwisho Wa Ubaya Ni Aibu ccm Hawana La Kusema Tena Zaidi Ya Kutahayari Walitaka Wapitishe Katiba Yao Tofauti Na Matakwa Ya Wananchi Sasa Wameachiwa Ukumbi Mbona Mambo Hayawi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.