Samahani wote,naombeni msaada wenu kwa hili. Najiunga kidato cha tano mwaka huu na comb zote zimebalance za arts na science.
Nataka kusoma CBG lakin watu wengi nnaokutana nao wanasema si comb nzuri ni bora nisome EGM.
Naombeni mnisaidie jamani najua humu wako watu wengi waliosoma hizi comb labda wao wataongelea uzoefu wao na wamekutana na wengi waliopitia hizi comb.
Nataka kusoma CBG lakin watu wengi nnaokutana nao wanasema si comb nzuri ni bora nisome EGM.
Naombeni mnisaidie jamani najua humu wako watu wengi waliosoma hizi comb labda wao wataongelea uzoefu wao na wamekutana na wengi waliopitia hizi comb.