Mbona bank hawakopeshi bila ya kua na dhamana ya nyumba ama kiwanja tena wanakagua mpaka kitanda unacholalia na pia mtu unaenda kukopa mwenyewe haulazimishwi ila mlioajiriwa sie tusio na ajira mbona tunatoboa miezi yote bila kudaiwa hata mie r.i.p dr reginald mengi uliajiriwa baadae ukajiajiri...
Habari ndugu zangu kutokana na ajenda inayotuchanganya na inayoashiria umasikini ni hii inshu ya kusajili laini kwa njia ya kisasa hasa kwa finger print na kua na kitambulisho cha utaifa wa tanzani ili hali ni asilimia 0.7 ndo wenye vitambulisho hivyo nini lengo lao hasa maana yake ni kwamba...
kwa wasiojua na wenye roho ngumu mkae mkijua mgeni asipofika kwako itabidi ujiulize sana kwa sisi wasukuma mpaka unajiuliza kwanini sipati wageni maana mgeni ni baraka kwako anapofika kwako ni baraka tosha kabisa tubadilike
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.