TBC Mnatuvunja Moyo Jamani

TBC Mnatuvunja Moyo Jamani

Kwa kumbukumbu zangu mambo yote ya aina hiyo(majanga) TBC sio kipaumbele chao.
Nakumbuka mabomu ya Mbagala,Gongolamboto,Kuzama kwa Meli kwenye mkondo wa Nungwi(MV Islander) Tetemeko la Kagera, kuzama kwa kivuko kule Ukara. Kwa uchache ..TBC inakua ya mwisho kuripoti.
Inaanza kuriport pale kiongozi fulani anapokua amekwenda eneo hilo.
TBC kipaumbele chao ni kung'arisha kazi za serikali na watendaji wake sio shida za watu.
Very Sad
Wakati mishahara yao inategemea kodi zetu
 
Mubashara ni exclusive kwa ajili ya Mr Jiwe tu, hata bunge haliruhusiwi.

Tuna ziara ya siku 8 Mbeya huko ndiko kilipo kipaumbele cha Tbc kurusha matangazo mubashara.
Watuonyeshe kila tukio siyo wana katakata hata pale Jiwe atakapo imbishwa nyimbo za kuisifia cdm
 
Kweli Madaraka matamu. nikikumbuka makala za Dr. Ryoba kwenye magazeti mbalimbali enzi hizo, sikutegemea kabisa angeshindwa kusimamia Shirika la habari kwa kiwango duni kiasi hiki........
Inawezekana ndiyo sheria zao hao matbc zilivyo ukiingia lazima uwe bubu
 
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana

Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga

Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine

Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
tatizo wanafanya kazikwa kumfurahisha mtu na mtu huyo kaisha wambia hataki kusikia majanga kabla hajatokea. yeye anapenda pesa michango ya waathirika.
 
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana

Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga

Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine

Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Achana na upuuzi wa Tbc, unajivunja moyo mwenyewe....wenye akili hatuna habari nayo kabisa..... Wake up mjomba.
 
Tbc ni uozo na pengine kosa kubwa ni tcra kuzifungia kampuni nyingine kutangaza habari
Tbc iliyoaminiwa haina uwezo huo, sijui tunafanyaje hapa.... Tunapitwa na vitu vingi mno
 
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana

Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga

Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine

Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda

Wako mubashara nchi jirani we ujui Leo uzinduzi wa soko la tumbaku kule kupita kwa kina mwaki
 
Kodi zetu zinatumiwa vibaya jamani
 
Mpaka pole pole akizuru huko ndo wanatangaza! Hopeless media
 
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana

Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga

Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine

Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Watazungumza Je bila kuweko wa kusifiwa na kuabudiwa ?!. Kwa hakika walitakiwa wawe update kwa kila hatua kupitia TMA na hata mashirika ya nje
 
Tatizo sio wafanyakazi ama Ryoba nafkiri shida ni serikali haiwekezi vya kutosha napia inawawekea vimasharti flani.
Kuhusu mtwara pengine hakuna kilichotokea ndiyo maana wamepotezea. Watabiri wetu wahali ya hewa nao wanashida zaidi ya kutabiri 'kutakua na mingurumo ya radi mawingu kiasi na mvua za hapa na pale' hamna utabiri mwingine wanaouwezea.
 
Mhando kaondoka na TBC yake yote anayotakoni mfukoni wamuombe radhi tido mhando
 
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana

Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga

Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine

Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Ingekuwa habari inayohusu ccm ama magufuli ungewaona wa kwanza kuirusha, yaani hio habari ya mtwara kwao sio habari, ni bora wapige muziki wa bongo fleva watajiona wamefanya kazi, natamani tbc ingefutiliwa mbali itoweke kwenye uso wa dunia
 
Hapa naona tatizo kubwa lipo kwenu mnaotazama hiyo TBC..

Binafsi huwa sitazami hiyo TV, kwa hiyo hizi frustrations siwezi kuzipata kamwe.
 
Kutoa taarifa ya kimbunga hicho wanaogopa itaonekana kama magufuri kakileta. Wanasubiri aende kuwapa pole ili watege makamera yao kuonyesha kwamba amekidhibiti.
 
Back
Top Bottom