Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Wanashindwa na BBC na clouds wapo kule tangu janaWalipaswa kuwa Mtwara wakirusha matangazo mubashara siku nzima ya leo mpaka kimbunga kitakapopita.
Wanashindwa na BBC na clouds wapo kule tangu janaWalipaswa kuwa Mtwara wakirusha matangazo mubashara siku nzima ya leo mpaka kimbunga kitakapopita.
Wakati mishahara yao inategemea kodi zetuKwa kumbukumbu zangu mambo yote ya aina hiyo(majanga) TBC sio kipaumbele chao.
Nakumbuka mabomu ya Mbagala,Gongolamboto,Kuzama kwa Meli kwenye mkondo wa Nungwi(MV Islander) Tetemeko la Kagera, kuzama kwa kivuko kule Ukara. Kwa uchache ..TBC inakua ya mwisho kuripoti.
Inaanza kuriport pale kiongozi fulani anapokua amekwenda eneo hilo.
TBC kipaumbele chao ni kung'arisha kazi za serikali na watendaji wake sio shida za watu.
Very Sad
Watuonyeshe kila tukio siyo wana katakata hata pale Jiwe atakapo imbishwa nyimbo za kuisifia cdmMubashara ni exclusive kwa ajili ya Mr Jiwe tu, hata bunge haliruhusiwi.
Tuna ziara ya siku 8 Mbeya huko ndiko kilipo kipaumbele cha Tbc kurusha matangazo mubashara.
Inawezekana ndiyo sheria zao hao matbc zilivyo ukiingia lazima uwe bubuKweli Madaraka matamu. nikikumbuka makala za Dr. Ryoba kwenye magazeti mbalimbali enzi hizo, sikutegemea kabisa angeshindwa kusimamia Shirika la habari kwa kiwango duni kiasi hiki........
tatizo wanafanya kazikwa kumfurahisha mtu na mtu huyo kaisha wambia hataki kusikia majanga kabla hajatokea. yeye anapenda pesa michango ya waathirika.Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana
Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga
Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine
Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Achana na upuuzi wa Tbc, unajivunja moyo mwenyewe....wenye akili hatuna habari nayo kabisa..... Wake up mjomba.Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana
Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga
Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine
Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Kuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana
Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga
Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine
Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Watazungumza Je bila kuweko wa kusifiwa na kuabudiwa ?!. Kwa hakika walitakiwa wawe update kwa kila hatua kupitia TMA na hata mashirika ya njeKuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana
Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga
Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine
Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Ingekuwa habari inayohusu ccm ama magufuli ungewaona wa kwanza kuirusha, yaani hio habari ya mtwara kwao sio habari, ni bora wapige muziki wa bongo fleva watajiona wamefanya kazi, natamani tbc ingefutiliwa mbali itoweke kwenye uso wa duniaKuna mambo hiki chombo chetu cha habari kinafanya kwa kweli kinavunja moyo sana
Leo kuna swala la kimbunga huko Mtwara, serikali ya mkoa mpaka imetangaza leo watu wasiende makazini, na vyombo vikubwa vya kimataifa vyote vinaongelea swala hilo hilo la kimbunga
Cha ajabu sasa naangalia taarifa Dira ya mchana sijaona taarifa yoyote ikisema swala hilo zaidi ya taarifa za mikoa mingine
Kwa maoni yangu nilidhani hii ilipaswa kuwa taarifa ya Kwanza au hata pale chini kuwe na maandishi yanatembea ambayo yanatoa update ya mambo yanayovyokwenda
Simiyu ndo home town yanguHivi kuna siku utaanagalia taarifa ya habari bila kuripoti taarifa za mkoa za Simiyu?