Recent content by Renegade

  1. Renegade

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Mengine yako ndani yako.
  2. Renegade

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Tafiti. Kuna vitabu kabla ya Biblia. Vitabu vingi vitafute.
  3. Renegade

    Car4Sale Harrier anaconda yenye sunroof na vigezo vyote iko sokoni

    Huyu ni dalali anatafuta mkate wa kila siku wa watoto wake
  4. Renegade

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Kwanza Mungu tunayemwamini ndiye? Ukikonekti doti zote unagundua uhusiano mkubwa sana uliopo kati ya Mungu wa wakristo na Miungu ya dini zingine, yaani Wahindu, Budha na hata waislamu, halafu unagundua kuwa ni Mungu kutoka katika familia ya Miungu(Yaani uzao wa EL), Pia unagundua kuwa Ukisema...
  5. Renegade

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Sio mbaya sana, ila kwenye dini hapo ongeza juhudi utakuja kugundua zaidi ya ulichogundua na utaachana na kwenda kanisani na ukatoliki wako! Nami nilikuwa mkatoliki lakini nimeenda zaidi ya wewe.
  6. Renegade

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Inategemea, Mimi mzee wangu alikua mkali mkali sana, kuna siku nilitulia nikamtolea uvivu, alinielewa na akanipa heshima yangu.
  7. Renegade

    Nashauri timu ya taifa ya Senegal wajitoe mashindano yote yanayosimamiwa na Wala rushwa CAF

    Senegal: Serikali yawatunuku vyeo vya juu Kocha na wachezaji wa timu ya Taifa
  8. Renegade

    Ukitaka kujua shetani alipo ni kwenye Betting

    Kama yupo basi hayo makazi ameyagundua juzi juzi tu, uko kwingine ndio anakoishi.
  9. Renegade

    Iran iko juu ya Israel kijeshi

    Sio kwa viongozi, assasination kwa viongozi wote wa juu ni weakness kubwa sana kwa nchi.
  10. Renegade

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Nakuelewa sana siku hizi baada ya mimi kuwa mwehu kwenye mambo ya dini.
  11. Renegade

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Ina maana hujui uislamu ulisambaaje? Dini zote ni mawazo ya watu, na MUNGU ni nadharia tu.
  12. Renegade

    Athari za kukiuka sheria zaitesa CHADEMA kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Upinzani uko mioyoni na sio kwenye vikwazo vya watu, hata CCM Kuna upinzani mkubwa tu,tena CCM Ndio imebomoka kuliko CHADEMA.
  13. Renegade

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Nchi ni dude kubwa haliwezi kuwa la dini moja, kila mtu anayo haki ya kuamua njia anayotaka kwenda, huwezi kuuwa watu kwa imani yako.
Back
Top Bottom