Kwanza Mungu tunayemwamini ndiye? Ukikonekti doti zote unagundua uhusiano mkubwa sana uliopo kati ya Mungu wa wakristo na Miungu ya dini zingine, yaani Wahindu, Budha na hata waislamu, halafu unagundua kuwa ni Mungu kutoka katika familia ya Miungu(Yaani uzao wa EL), Pia unagundua kuwa Ukisema...
Sio mbaya sana, ila kwenye dini hapo ongeza juhudi utakuja kugundua zaidi ya ulichogundua na utaachana na kwenda kanisani na ukatoliki wako! Nami nilikuwa mkatoliki lakini nimeenda zaidi ya wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.