Well said, tatizo namba moja anajisahahulisha na kufikiri kuwa amemteua! Yule ni mwena wake wa shida na raha, wavumiliane tu. Watafute common ground waende pamoja.
Ni hatari sana kwa kuwa watu wanawindana!Kwenye vikao hawaaminiani, kila mmoja anamuona mwenzie ni tishio la maisha yake, hatari pale watu wanapopigwa bei.
Bajeti ya harusi ya watu 100- 150
1.Tafuta ukumbi wa gharama nafuu............500,000-1,000,000
2.Tafuta mpishi wa kumlipa kupika, nunua kila kitu yeye apike.........mpishi 300,000...vifaa 900,000.......................1,200,000
3.MC wa 500,000...
Umeshawahi kutumia akili yako kwenye mambo ya Imani? Ukitumia akili yako utaelewa nini maana ya maneno yaliyopigiwa mstari.
Unaelewa maana ya maneno "Kama tungeliteremsha"
Pamoja na kupata 98% Ni Rais pekee anayechukiwa sana kuliko Marais wote waliowahi kutokea, hata hao wanajifanya kumuunga mkono ni kwa sababu ya Kula yao tu, lakini pembeni najua ukweli wanao.
Kimsingi unatakiwa ukifumba macho uone visivyoonekana, Hapa ndio mtihani mkubwa ulipo, kama pineal gland yako haiko blocked na matakataka unatakiwa kuona, mawazo unayafumbia macho tu, lakini uono wa kiroho hauna limit.
Hapa ndio kwenye somo la kwanza katika kufungua uono wako wa kiroho, mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.