Recent content by Renegade

  1. Renegade

    JamiiForums Tanzania Je, atajiuzulu kama wanavyotaka?

    Well said, tatizo namba moja anajisahahulisha na kufikiri kuwa amemteua! Yule ni mwena wake wa shida na raha, wavumiliane tu. Watafute common ground waende pamoja.
  2. Renegade

    JamiiForums Tanzania Mene, Mene, Tekeli na Peresi": Maandishi Ukutani Kuhusu Nyufa na Ugomvi wa Ndani ya CCM

    Ni hatari sana kwa kuwa watu wanawindana!Kwenye vikao hawaaminiani, kila mmoja anamuona mwenzie ni tishio la maisha yake, hatari pale watu wanapopigwa bei.
  3. Renegade

    JamiiForums Tanzania Cocastic navutiwa nawe sana!

    Kama ni mwanaume je?
  4. Renegade

    JamiiForums Tanzania MPYA Inasemekana Trump alishakufa iliyopo ni clone yake

    Hata Biden alishakufa, Hata Netanyahu alishakufa hata wewe ulishakufaa! Hizi ni stori za kwenye kahawa tu achana nazo.
  5. Renegade

    JamiiForums Tanzania Faraja Kotta: Mume Wangu Anafaa Kabisa Tena Kwa...

    Labda anafaa kitandani kwake.
  6. Renegade

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Bajeti ya harusi ya watu 100- 150 1.Tafuta ukumbi wa gharama nafuu............500,000-1,000,000 2.Tafuta mpishi wa kumlipa kupika, nunua kila kitu yeye apike.........mpishi 300,000...vifaa 900,000.......................1,200,000 3.MC wa 500,000...
  7. Renegade

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    Mama zetu wameolewa na miaka 16-20
  8. Renegade

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaanza kuhisi raha kamili ya sex anapofikisha miaka 28

    Wewe ni mwanamke?
  9. Renegade

    JamiiForums Tanzania Yoni Netanyahu apewa Heshima yake huko zenyewe,Uganda!!

    Hizi siasa ndogondogo
  10. Renegade

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Umeshawahi kutumia akili yako kwenye mambo ya Imani? Ukitumia akili yako utaelewa nini maana ya maneno yaliyopigiwa mstari. Unaelewa maana ya maneno "Kama tungeliteremsha"
  11. Renegade

    JamiiForums Tanzania Hivi unapofumba macho bila kusinzia huwa unaona?

    Ok. Sawa.
  12. Renegade

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Pamoja na kupata 98% Ni Rais pekee anayechukiwa sana kuliko Marais wote waliowahi kutokea, hata hao wanajifanya kumuunga mkono ni kwa sababu ya Kula yao tu, lakini pembeni najua ukweli wanao.
  13. Renegade

    JamiiForums Tanzania Hivi unapofumba macho bila kusinzia huwa unaona?

    Are you? Interested?
  14. Renegade

    JamiiForums Tanzania Hivi unapofumba macho bila kusinzia huwa unaona?

    Kimsingi unatakiwa ukifumba macho uone visivyoonekana, Hapa ndio mtihani mkubwa ulipo, kama pineal gland yako haiko blocked na matakataka unatakiwa kuona, mawazo unayafumbia macho tu, lakini uono wa kiroho hauna limit. Hapa ndio kwenye somo la kwanza katika kufungua uono wako wa kiroho, mengine...
Back
Top Bottom