Zamani nilikuwa chizi kama wewe, lakini sasa hivi sioni muhimu tena kununuanunua kama wewe,
Mwaka jana nilipaki mizigo kwenye shangazi kaja kwa ajili ya kijijini, bado nitafanya hivyo tena mwaka huu.
Nataka nibaki na pea 10 ya kila kitu, japo ukiwa na mzigo mkubwa unavaa tu.
Jifunze kutembea na...
R.I.P Mustapha Sabodo, hakika alikuwa mzalendo wa kweli, katika mazingira magumu akiwa kama mfanyabiashara bila kuogopa hatima yake na chama cha CCM kikiwa kimeshika hatima ya serikali alikubali kuisaidia CHADEMA pasi na kuogopa hatima yake.
Kwa suala la bodaboda kuilaumu serikali ni makosa, unakuta abiria anapanda bodaboda wakati anaona hana Helmet!!
Wakati mwingine hiyo speed yake abiria wala hatii neno! kuilaumu serikali ni kuikosea.
Boda boda wanatakiwa kubadilika sana, Wao wako wengi kuliko traffic (serikali), wafuate sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.