Recent content by Renegade

  1. Renegade

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Tunalipia huduma bila kujali mtoa huduma anapesa kiasi gani!
  2. Renegade

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi

    Umejiunga JF ili ujitukane tu? Inakusaidia nini? Kenge wahedi.
  3. Renegade

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Well said, The law of the Universe.
  4. Renegade

    JamiiForums Tanzania Benki zetu zina tatizo gani? Vijana hawana ajira, mnashindwa kuajiri tellers na faida mnapata?

    Acheni ubahiri ndu Acheni ubahili mkuu
  5. Renegade

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Ziara ya Rais Samia Urusi imeleta 'Mtikisiko' wa Dunia

    This was a normal business trip just like any other, Since 1997, across 29 years, Russian investors have undertaken 70 projects in Tanzania with a combined direct investment value of approximately $434 million. That is roughly $15 million per year. It is not aid. It is commercial investment...
  6. Renegade

    JamiiForums Tanzania KERO HR vyuo vikuu vya Tumaini Makumira na Tumaini Dar es Salaam (Dartu) kuna tatizo gani? Mnaita watu kwenye interview halafu mnapotea mazima. Kulikoni?

    Mtoa mada hakuwa tu na uvumilivu, yeye mwenyewe kasema kuwa alipiga simu akaambiwa awe na subira mchakato haujakamilika! Nimeona malalamiko kama haya kwa watu waliofanya interview serikalini nako kuna tatizo kama hilo.
  7. Renegade

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

    Nyingine ilikuwa Muhogo mchungu.
  8. Renegade

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

    Kawawa hakuwa Elimu ndogo, kwa wakati ule alikuwa mmoja wa wasomi.
  9. Renegade

    JamiiForums Tanzania Mama tukubali kawa mzigo kwa Tanzania!

    Chini ya uvungu wa Kitanda chako.
  10. Renegade

    JamiiForums Tanzania AFRIKA KUSINI: Meja Jenerali afukuzwa Kazi kwa Utovu wa nidhamu na kuliaibisha Jeshi la Polisi

    Nilifikiri huyu Mwamba, General Nhlanhla Mkhwanazi
  11. Renegade

    JamiiForums Tanzania Tupeane ramani ya zile kazi ambazo zinadharauliwa lakini zinae kibunda

    Motuary attendant graduates wa Bugando 2025.
  12. Renegade

    JamiiForums Tanzania Tupeane ramani ya zile kazi ambazo zinadharauliwa lakini zinae kibunda

    Siku moja tulifuata maiti motuary ya Police Kilwa road,Pale motuary dada tuliemkuta kama motuary attendant ni mrembo , nilijiuliza maswali, hivi dada kama huyu anawezaje kufanya kazi ile?
  13. Renegade

    JamiiForums Tanzania Tupeane ramani ya zile kazi ambazo zinadharauliwa lakini zinae kibunda

    Hawa wanalalamika ajira za upendeleo!! Nilishangaa sana nilipoona hiyio habari.
  14. Renegade

    JamiiForums Tanzania Wazazi Wanaolalamika Wamefeli?

    Watoto tuliowazaa kwa kweli ni balaa.
  15. Renegade

    JamiiForums Tanzania Wazazi Wanaolalamika Wamefeli?

    Hakika
Back
Top Bottom