Recent content by Renegade

  1. Renegade

    Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?

    Mzee baba je?
  2. Renegade

    Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?

    Kuugua kwa Kolimba ilikuwaje ghafla sana nakwenye kikao? Na kufa baada ya kikao?
  3. Renegade

    Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

    Zamani nilikuwa chizi kama wewe, lakini sasa hivi sioni muhimu tena kununuanunua kama wewe, Mwaka jana nilipaki mizigo kwenye shangazi kaja kwa ajili ya kijijini, bado nitafanya hivyo tena mwaka huu. Nataka nibaki na pea 10 ya kila kitu, japo ukiwa na mzigo mkubwa unavaa tu. Jifunze kutembea na...
  4. Renegade

    Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

    R.I.P Mustapha Sabodo, hakika alikuwa mzalendo wa kweli, katika mazingira magumu akiwa kama mfanyabiashara bila kuogopa hatima yake na chama cha CCM kikiwa kimeshika hatima ya serikali alikubali kuisaidia CHADEMA pasi na kuogopa hatima yake.
  5. Renegade

    Jesca Magufuli achangia Ujenzi Nyumba ya Katibu UVCCM Wilaya ya Chato. Asisitiza Kumuenzi Hayati Magufuli

    Baba yako ana akili sana, anaona vitu kwa uhalisia, Mungu ambariki aishi sana.
  6. Renegade

    Falling in love...

    Wajukuu bado, mtoto wa kwanza ndio amegraduate UNI mwaka jana, wapili yuko UNI first year.
  7. Renegade

    Falling in love...

    Twelve years ago, its quite a time, Now am really old man, early fifty's.
  8. Renegade

    Rais wa China atangaza Majeshi yakae tayari vita kubwa baharini

    Kwanini ameshindwa kupaki meli hapo?
  9. Renegade

    Vijana wanakufa kwa ajali za bodaboda kila siku. Serikali haina taarifa au kwakuwa wahanga ni familia za kimaskini?

    Kwa suala la bodaboda kuilaumu serikali ni makosa, unakuta abiria anapanda bodaboda wakati anaona hana Helmet!! Wakati mwingine hiyo speed yake abiria wala hatii neno! kuilaumu serikali ni kuikosea. Boda boda wanatakiwa kubadilika sana, Wao wako wengi kuliko traffic (serikali), wafuate sheria.
  10. Renegade

    Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

    Huwezi kuelewa ukiwa ndezi, wenye akili tunaona mbali.
  11. Renegade

    Nimemlipia binti mahari lakini bado ananizungusha

    Hii ndio akili ya mwanaume gaintoo broisser fata hii.
Back
Top Bottom