Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 8,997
- 7,616
- Thread starter
- #21
Tuwekee video ya wapalestina walitoa Tigo kwa Askari wa IDF propaganda za maneno hatutaki!!Acha unafiki mbona Wapalestina wanalawitiwa kila kukicha huko magerezani umewahi ona mkiwaita Israel magaidi? Fuatilia habari za westbank kule hakuna Hamas ila kila siku wanateswa, kuuwawa, kubakwa na kuporwa makazi ila walowezi wa kiyahudi au IDF hawaitwi magaidi.
Hili neno gaidi ni la kisiasa sana kuliko uhalisia. Hata hiyo Israel kipindi inapambania kupata uhuru ilikua na vikundi vinalipua treni na kambi za jeshi, mashule na hospitali za serikali ila hawakuwahi kuitwa magaidi.
So tuache kulishwa propaganda, kama issue ni matendo then Hamas na IDF wote wanakua kikundi kimoja.