Hivi sisi Wakristo kwanini tunaipigania nchi ambayo hata hii dini yetu wao hawaitambui? Hata tunaemwamini hawamwamini kama alikua mtu wa hivooo kama sisi tunavyomwamini?!! Embu tuache ulimbukeni na hao watu wanaounga mkono Ushoga,
Ni ulimbukeni tu unaotumika kupata support ya kisiasa hapo...
Make kwanza nchekee😂.. Hii mbona hatujasikia mapambio na vinubi.. Wapi fedha zinatoka😂… Wapi tender ilipotangazwa, huyo mkandarasi ni nani kwani😂..
Mipango mingii kwenye makaratasi,mnaanzisha hili hamjamaliza mara mnaleta lile, mnatumalizia miti tu..
Kuna kitu kinaitwa system
,Hii itabaki nadharia tu kama ya kwenye vitabu ambayo implementation yake ni ngumu mno kutokea ndani ya nchi hii.
Remember Newton first law of motion
“ An object will remain at rest, or move in a straight line at constant speed, unless acted upon by an external...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.