Nakwambia kitu kimoja mkuu, tena nisikilize kwa makini sana.
Wewe umepiga nyeto na kuangalia video za ngono kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka mingi bila kua na demu imefikia sasa mpaka imeanza kukuletea madhara hayo uliyoyataja hapo juu.
Amini nachokwambia usifarijiwe na hao wanaokwambia...
Hivi sisi Wakristo kwanini tunaipigania nchi ambayo hata hii dini yetu wao hawaitambui? Hata tunaemwamini hawamwamini kama alikua mtu wa hivooo kama sisi tunavyomwamini?!! Embu tuache ulimbukeni na hao watu wanaounga mkono Ushoga,
Ni ulimbukeni tu unaotumika kupata support ya kisiasa hapo...
Make kwanza nchekee😂.. Hii mbona hatujasikia mapambio na vinubi.. Wapi fedha zinatoka😂… Wapi tender ilipotangazwa, huyo mkandarasi ni nani kwani😂..
Mipango mingii kwenye makaratasi,mnaanzisha hili hamjamaliza mara mnaleta lile, mnatumalizia miti tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.