“Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.“
Chief hakuna sehemu imeelezewa maungo sexually hapo labda kama neno MAUMBILE ndio linakuhemsha.
Sasa ngoja nikurudishe darasani KILAZA...
Haya sema huyo mtoto alitakiwa aelezewe vipi ili wewe msomaji unaerusha maneno na ulieelewa ni aina gani ya mtoto anaezungumziwa hapa usihemkwe kama binti.
Maana mtu anamfananisha mtoto kama mama yake ambae wewe humjui wala hakujui ili upate picha ya anachotaka kuzungumza , wewe unahemkwa...
Wewe nae ni kizibo kweli, yani forum kama hii mtu afanye jinai kama hio halafu aje kujifanya hajafanya na kutafuta ushauri unadhani guilty inaweza ikakuruhusu ufanye kitu kama hicho? !!
Embu usijifanye unajua kinachoendelea wakati mtu humjui unaanza kumshambulia kwa kutaka ushauri ambao yeye...
Wewe nawe ni Kizibo kweli na. akili inaonekana ina ujinga mwingi
Laana gani sasa wakati mtu anatafuta ushauri kwa kusingiziwa jambo ambalo hajalifanya! Sasa ulitaka aliwasilishe vipi ili aeleweke na apate ushauri!!
Aya tuambie uyo jamaa mke na mtoto unawafaham?
Nakwambia kitu kimoja mkuu, tena nisikilize kwa makini sana.
Wewe umepiga nyeto na kuangalia video za ngono kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka mingi bila kua na demu imefikia sasa mpaka imeanza kukuletea madhara hayo uliyoyataja hapo juu.
Amini nachokwambia usifarijiwe na hao wanaokwambia...
Hivi sisi Wakristo kwanini tunaipigania nchi ambayo hata hii dini yetu wao hawaitambui? Hata tunaemwamini hawamwamini kama alikua mtu wa hivooo kama sisi tunavyomwamini?!! Embu tuache ulimbukeni na hao watu wanaounga mkono Ushoga,
Ni ulimbukeni tu unaotumika kupata support ya kisiasa hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.