Recent content by Remark

  1. Remark

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udaktari ni ngumu sana, hawa watu tuwatie moyo sana.

    Kuna hawa madaktari wa TAMISEMI utawaonea huruma huko vijijini aisee
  2. Remark

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni Kiongozi Jasiri na mwenye Uthubutu wa hali ya juu sana

    Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
  3. Remark

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani: Nashindwa kuchangamana na watu

    Nakwambia kitu kimoja mkuu, tena nisikilize kwa makini sana. Wewe umepiga nyeto na kuangalia video za ngono kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka mingi bila kua na demu imefikia sasa mpaka imeanza kukuletea madhara hayo uliyoyataja hapo juu. Amini nachokwambia usifarijiwe na hao wanaokwambia...
  4. Remark

    JamiiForums Tanzania Katika sala zako ukumbuke kuiombea Israel... Utaishi kwa amani sana hapa duniani

    Kwani israel ina watu wanaishi?
  5. Remark

    JamiiForums Tanzania Katika sala zako ukumbuke kuiombea Israel... Utaishi kwa amani sana hapa duniani

    Hivi sisi Wakristo kwanini tunaipigania nchi ambayo hata hii dini yetu wao hawaitambui? Hata tunaemwamini hawamwamini kama alikua mtu wa hivooo kama sisi tunavyomwamini?!! Embu tuache ulimbukeni na hao watu wanaounga mkono Ushoga, Ni ulimbukeni tu unaotumika kupata support ya kisiasa hapo...
  6. Remark

    JamiiForums Tanzania Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Sasa mtego gani huo ambao hata wewe huujui unaishia kuleta hisia tu kama wanawake wanavyofanyaga
  7. Remark

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    L bila O, mwingine aitwe Thang bila SOLO shupavu awajibike kama apolo J afande ni ukuta wapi chochoro🎶🎶🎶
  8. Remark

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Geezy mtoto wa kiume acha nijitume kama matunda yangu yapo basi acheni niyachume🎶🎶
  9. Remark

    JamiiForums Tanzania Kwanini mashahidi wote katika kesi ya Lissu ni wakiristo?

    Aaa aisee nyie wajinga mnapenda udini kishenzi..Yani nyie mnalishwa udini mnaingia kingi kizembe sana ili kutugawa. MATAKO YENU
  10. Remark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Jamaa mbona hajasomea masters yake UDSM lakini
  11. Remark

    JamiiForums Tanzania Hivi wanatuonaje hawa ?

    Mamamaeeee….! Walamba vinyeo na nnya sababu ya vichenchi vidogo. Haya tuambie huo u smart upo kwenye kipi hasa na goals gani alizo achieve mpaka sasa.
  12. Remark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Naskia kumbe ni mipango tu ya PPP bana🙄 Ivi zile barabara za kilometer zaidi ya 2000 walizotamba watajenga kwa partnership zimeishiaga wapi🤔🤣
  13. Remark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Make kwanza nchekee😂.. Hii mbona hatujasikia mapambio na vinubi.. Wapi fedha zinatoka😂… Wapi tender ilipotangazwa, huyo mkandarasi ni nani kwani😂.. Mipango mingii kwenye makaratasi,mnaanzisha hili hamjamaliza mara mnaleta lile, mnatumalizia miti tu..
  14. Remark

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Ujerumani Fanya Haraka

    Heading na content ni vitu viwili tofauti.
Back
Top Bottom