Recent content by Remark

  1. Remark

    Katika sala zako ukumbuke kuiombea Israel... Utaishi kwa amani sana hapa duniani

    Hivi sisi Wakristo kwanini tunaipigania nchi ambayo hata hii dini yetu wao hawaitambui? Hata tunaemwamini hawamwamini kama alikua mtu wa hivooo kama sisi tunavyomwamini?!! Embu tuache ulimbukeni na hao watu wanaounga mkono Ushoga, Ni ulimbukeni tu unaotumika kupata support ya kisiasa hapo...
  2. Remark

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Sasa mtego gani huo ambao hata wewe huujui unaishia kuleta hisia tu kama wanawake wanavyofanyaga
  3. Remark

    Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    L bila O, mwingine aitwe Thang bila SOLO shupavu awajibike kama apolo J afande ni ukuta wapi chochoro🎶🎶🎶
  4. Remark

    Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Geezy mtoto wa kiume acha nijitume kama matunda yangu yapo basi acheni niyachume🎶🎶
  5. Remark

    Kwanini mashahidi wote katika kesi ya Lissu ni wakiristo?

    Aaa aisee nyie wajinga mnapenda udini kishenzi..Yani nyie mnalishwa udini mnaingia kingi kizembe sana ili kutugawa. MATAKO YENU
  6. Remark

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Jamaa mbona hajasomea masters yake UDSM lakini
  7. Remark

    Hivi wanatuonaje hawa ?

    Mamamaeeee….! Walamba vinyeo na nnya sababu ya vichenchi vidogo. Haya tuambie huo u smart upo kwenye kipi hasa na goals gani alizo achieve mpaka sasa.
  8. Remark

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Naskia kumbe ni mipango tu ya PPP bana🙄 Ivi zile barabara za kilometer zaidi ya 2000 walizotamba watajenga kwa partnership zimeishiaga wapi🤔🤣
  9. Remark

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Make kwanza nchekee😂.. Hii mbona hatujasikia mapambio na vinubi.. Wapi fedha zinatoka😂… Wapi tender ilipotangazwa, huyo mkandarasi ni nani kwani😂.. Mipango mingii kwenye makaratasi,mnaanzisha hili hamjamaliza mara mnaleta lile, mnatumalizia miti tu..
  10. Remark

    Nafasi za kazi Ujerumani Fanya Haraka

    Heading na content ni vitu viwili tofauti.
  11. Remark

    Tunaweza tusiwepo ila maandishi yanabaki Nina maono

    Kuna kitu kinaitwa system ,Hii itabaki nadharia tu kama ya kwenye vitabu ambayo implementation yake ni ngumu mno kutokea ndani ya nchi hii. Remember Newton first law of motion “ An object will remain at rest, or move in a straight line at constant speed, unless acted upon by an external...
  12. Remark

    Dude limekaa vibaya sana hakuna wa kulitatua ndani kwa ndani

    Kwani kuna habari gani humu?
  13. Remark

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kenge mmoja tu wewe..
Back
Top Bottom