Nakwambia kitu kimoja mkuu, tena nisikilize kwa makini sana.
Wewe umepiga nyeto na kuangalia video za ngono kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka mingi bila kua na demu imefikia sasa mpaka imeanza kukuletea madhara hayo uliyoyataja hapo juu.
Amini nachokwambia usifarijiwe na hao wanaokwambia sijui introvet sijui muonekano wako mbaya au namna yoyote wanayosema, sababu kua introvet hakukufanyi uchukiwe au usikubalike wala kukufanya ushindwe kujiamini mbele ya wenzako.
Ushauri wa kwanza anza kula vitunguu saumu unapoamka tafuna punje hata tatu, mchana tatu na usiku kabla ya kulala punje tatu, hii huwa inasaidia sana kiroho kimwili hata kiakili maana akili yako imefifia tokana athari za nyeto na uangaliaji wa porn.
Pili, Fanya mazoezi kila unapopata muda, tembea umbali mrefu au kimbia, nyanyua vitu vizito
NAONA UMEKUJA NA ID MPYA
SIO KWA
Mbona umeanzisha mada apa mkuu . Unaona adi apa unaweza lkn hujiamini
Mimi ni kama wewe ila cha kuongezea nina hearing impairment.
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza nikatakiwa kufanya presentation nimepanda kwa stage. Darasa lote kimya likanipa attention sana. maana nilikua mtu wa kujitenga sana adi kuna waliodhani mimi ni bubu.
ule utulivu na kila mtu amefocus kuniangalia usoni.. nikapoteza confidence kizunguzungu.. naanza kusikia mlio wa tiiiiiiii kwenye ubongo,, jashoo kama lote . Nikaona apa nitafaint. Nikaondoka nje na kuacha darasa zima wakicheka na sikuongea chochote hata salamu.
nikawa maarufu sana baada ya lile tukio 😂😂 ukawa mwanzo wa ku interact na watu japo ni ngumu lkn nilijitahidi. Nikapata na demu.
Una mahusiano mkuu ?
Ndiyo k