Ramaar hasheem
Member
- Dec 22, 2018
- 10
- 6
DEREVA NATAFUTA GARI LA MKATABA/MAHESABU KWA AJILI YA BOLT – DSM 🚗
Anatafuta gari kwa ajili ya kazi ya Bolt mkoani Dar es Salaam. Ni dereva mzoefu na mwaminifu anayetafuta gari imara kwa ajili ya biashara, akilenga zaidi magari yenye ufanisi kama Toyota IST, Passo, Vitz, Ractis, RunX au mengineyo yanayofaa kwa kazi za Tax mtandaoni.
Makubaliano yanaweza kuwa ya mkataba wa umiliki (Drive to Own) au mahesabu ya kila siku kulingana na maelewano na mmiliki.
Kama unalo gari au una connection ya mtu anayetafuta dereva makini wa kumpa chombo, tafadhali wasiliana naye kupitia:
📞 Simu: 0611 947177
Tafadhali nisaidie kusambaza tangazo hili lifike kwa wahusika.
Kuna zawadi ya 100,000.
Ahsante!
Anatafuta gari kwa ajili ya kazi ya Bolt mkoani Dar es Salaam. Ni dereva mzoefu na mwaminifu anayetafuta gari imara kwa ajili ya biashara, akilenga zaidi magari yenye ufanisi kama Toyota IST, Passo, Vitz, Ractis, RunX au mengineyo yanayofaa kwa kazi za Tax mtandaoni.
Makubaliano yanaweza kuwa ya mkataba wa umiliki (Drive to Own) au mahesabu ya kila siku kulingana na maelewano na mmiliki.
Kama unalo gari au una connection ya mtu anayetafuta dereva makini wa kumpa chombo, tafadhali wasiliana naye kupitia:
📞 Simu: 0611 947177
Tafadhali nisaidie kusambaza tangazo hili lifike kwa wahusika.
Kuna zawadi ya 100,000.
Ahsante!