Recent content by Rellik

  1. R

    Nimeshindwa kuendelea na ajira ya ualimu serikalini nimeacha kazi

    Ila ujipange tu, maana maisha ni reality, hautakutana na muujiza kama utatoka bila kujipanga, kwakuwa ni jambo uliloingia taratibu kwa kusomea nakushauri pia utoke taratibu weka mikakati ya kujiandalia plan B wakati bado upo humo na plan B zako zikisimama then sepa achana nao,
  2. R

    Nimeshindwa kuendelea na ajira ya ualimu serikalini nimeacha kazi

    Hilo ndilo linalofuata kwa walimu wengi wanaojitambua na ambao bado wana muda mrefu kabla ya kustaafu, watabaki mabogus na wazee wanaosubiri mafao yaive,
  3. R

    Je kwenye wallet yako unabeba nini..? Vijue vitu vipatikanavyo kwenye wallet za vijana!

    Teh teh teh[emoji2] Hawa .wa kitanzania ni wauza urembo tu sasa!
  4. R

    Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

    Wapo wanaume wachache wenye pesa za ziada za kuchezea ambao huwapa hawa wajinga pesa huku wakiendelea kuwachezea na wao, wakijakustuka ndio hivyo ,maana wachezeaji hao lengo linabaki kuwa ni kuchezea tu, So mkuu waache waendelee kupenda makuu, na waendelee, mpaka wakome,
  5. R

    Wakenya waanza kumiminika Tanzania

    Sio kila raia wa kenya ni mbaya, kuna binadamu wa MUNGU wengi tu huko,
  6. R

    Wakenya waanza kumiminika Tanzania

    Kwahiyo avatar yako mkuu, sishangai,
  7. R

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Wewe na kura yako,
  8. R

    Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

    Afterall inaonekana watz ni wapumbavu na malofa kwa vigezo vingi tu, tena ni dhahiri kuwa tuko hivyo mfano; -wafanyakazi wala viongozi wa vyama vyao hawajui maana ya annual increment kiuchumi na kwa nn ipo pale kisheria na inaonekana wanadhani ile inafanywa na rais kama hisani tu, - watz...
  9. R

    Ushauri wenu wakuu nimechanganyikiwa kwa ujinga niliofanya

    Wanakuzingua tu, hata ukiwa ni wa mjini ni lazima wazo la ngono likujie ukikaa na binti peke yenu tu usiku , hiyo ni faragha, ila kama hautaamua kumla sasa hilo ni shauri jingine maana inategemea upo katika hali gani na wewe , yaani factor nyingine, ila ukweli unabaki palepale,
  10. R

    Ushauri wenu wakuu nimechanganyikiwa kwa ujinga niliofanya

    Wanakuzingua tu, hata ukiwa ni wa mjini ni lazima wazo la ngono likujie ukikaa na binti peke yenu tu usiku , hiyo ni faragha, ila kama hautaamua kumla sasa hilo ni shauri jingine maana inategemea upo katika hali gani na wewe , yaani factor nyingine, ila ukweli unabaki palepale,
  11. R

    Natafuta vijana wenye mtaji tukafungue plant kanda ya ziwa

    Hongereni sana wakuu, ni bora ufanye kazi kama mtumwa halafu uishi kama mfalme kuliko umfanyie mtu mwingine kazi kama mtumwa halafu uishi kama shetani,
  12. R

    Nimeshindwa kuvumilia "Nimeacha kazi kiroho safi".

    Kwenye huu utumwashi wa umma naona tutatokaga wengi tu, time will tell,
  13. R

    Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Utadhani alipoandika alikuwa kazipiga mbili tatu maana hiyo lugha humo yote haijanyooka,
  14. R

    Wanaume kupotea baada ya muda mfupi wa mahusiano

    Komandoooo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Back
Top Bottom