Ila ujipange tu, maana maisha ni reality, hautakutana na muujiza kama utatoka bila kujipanga, kwakuwa ni jambo uliloingia taratibu kwa kusomea nakushauri pia utoke taratibu weka mikakati ya kujiandalia plan B wakati bado upo humo na plan B zako zikisimama then sepa achana nao,
Hilo ndilo linalofuata kwa walimu wengi wanaojitambua na ambao bado wana muda mrefu kabla ya kustaafu, watabaki mabogus na wazee wanaosubiri mafao yaive,
Wapo wanaume wachache wenye pesa za ziada za kuchezea ambao huwapa hawa wajinga pesa huku wakiendelea kuwachezea na wao, wakijakustuka ndio hivyo ,maana wachezeaji hao lengo linabaki kuwa ni kuchezea tu,
So mkuu waache waendelee kupenda makuu, na waendelee, mpaka wakome,
Afterall inaonekana watz ni wapumbavu na malofa kwa vigezo vingi tu, tena ni dhahiri kuwa tuko hivyo mfano;
-wafanyakazi wala viongozi wa vyama vyao hawajui maana ya annual increment kiuchumi na kwa nn ipo pale kisheria na inaonekana wanadhani ile inafanywa na rais kama hisani tu,
- watz...
Wanakuzingua tu, hata ukiwa ni wa mjini ni lazima wazo la ngono likujie ukikaa na binti peke yenu tu usiku , hiyo ni faragha, ila kama hautaamua kumla sasa hilo ni shauri jingine maana inategemea upo katika hali gani na wewe , yaani factor nyingine, ila ukweli unabaki palepale,
Wanakuzingua tu, hata ukiwa ni wa mjini ni lazima wazo la ngono likujie ukikaa na binti peke yenu tu usiku , hiyo ni faragha, ila kama hautaamua kumla sasa hilo ni shauri jingine maana inategemea upo katika hali gani na wewe , yaani factor nyingine, ila ukweli unabaki palepale,
Hongereni sana wakuu, ni bora ufanye kazi kama mtumwa halafu uishi kama mfalme kuliko umfanyie mtu mwingine kazi kama mtumwa halafu uishi kama shetani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.