SIONI SABABABU YA KUMLAUMU MHE DKT FAUSITE NDUNGULILE
Na Elius Ndabila
0768239284
Baada ya mabadiliko ya vifurushi vya mitandao jana kubadilika Watanzania wengi walilalamika kuwa vifurushi hivyo havijaja kuwasaidia bali kuwaumiza. Pamoja na maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Viongozi wa TCRA...
MATARAJIO YA WATANZANIA KWA MHE SAMIA, RAIS WA JMT NI MAKUBWA
Na Elius Ndabila
0768239284
Jana Mhe Samia Samia Rais wa JMT amefanya mabadililo madogo kwenye Baraza la Mawaziri yaliyotanguliwa na uapishwaji wa Makamu wa Rais. Katika kuendelea kuhakikisha matarajio aliyonayo ameendelea kupanga...
Ndumbula anajaribu kudanganya ili kumtetea dadako.
Mbene ni mtu wa kuzusha hasa kwa sababu ya hofu yake kisiasa. Kazi yake huyo bibi ni kufukuza kila anayemuona hayuko naye vizuri. Labda nikukumbushe tu kuwa mwaka 2014 alimfukuza DED Siliwa kisa aliomba uwanja wa kujenga akamegewa kidogo wakati...
Elimu ya tanzania ni ya kukaririshwa ndio maana wapo wanao amini kukaa muda mrefu madarakani siyo demokrasia bali ni udikiteta. KUNA siku nitakuja kutoa somo la demokrasia. Lakini mtambue kuwa hata mtu akikaa madarakani hata kwa miaka 50 lakini ni kwa ridhaa ya watu basi hiyo ni demokrasia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.