Recent content by RECEIPT

  1. R

    Mabadiliko ya vifurushi: Ninadhani tunamuonea Dkt. Ndugulile. Je, wabunge kazi yao ni ipi?

    SIONI SABABABU YA KUMLAUMU MHE DKT FAUSITE NDUNGULILE Na Elius Ndabila 0768239284 Baada ya mabadiliko ya vifurushi vya mitandao jana kubadilika Watanzania wengi walilalamika kuwa vifurushi hivyo havijaja kuwasaidia bali kuwaumiza. Pamoja na maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Viongozi wa TCRA...
  2. R

    Matarajio ya watanzania kwa Mhe. Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni makubwa

    MATARAJIO YA WATANZANIA KWA MHE SAMIA, RAIS WA JMT NI MAKUBWA Na Elius Ndabila 0768239284 Jana Mhe Samia Samia Rais wa JMT amefanya mabadililo madogo kwenye Baraza la Mawaziri yaliyotanguliwa na uapishwaji wa Makamu wa Rais. Katika kuendelea kuhakikisha matarajio aliyonayo ameendelea kupanga...
  3. R

    Rais Anapokubali Awakilishwe na Wahuni na Watekaji Havunji Maadili ya Taasisi ya Urais?

    Kuna mahali nimeona watu wanasema hiyo si sauti ya Sabaya ila ni ya vijana wa Arusha.
  4. R

    Kwanini wapinzani wa CCM wanasema CCM imejichimbia kaburi?

    Tangu enzi za mzee Mrema.
  5. R

    Kwanini wapinzani wa CCM wanasema CCM imejichimbia kaburi?

    Daaaa hii hoja labda anaweza kuijibu Mayalla tu, wengine hapa watarukaruka kama chura kwenye maji.
  6. R

    CCM watwangana kura za maoni Yombo Vituka

    Ukisoma watu wanapigana juwa kwamba chama kinapendwa na kina wafuasi wengi.
  7. R

    Video: Juliana Shonza amdanganya Rais. Awaombea msamaha wananchi hewa na kuahidi uongo

    Mbona tumbo Kama mjamzito? Huyu si amejifungua mwaka jana mwezi wa kumi?
  8. R

    Rais Magufuli umedanganywa mengi kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya ya Ileje, Undugu na Waziri Mkuu unampa jeuri na huambiwi ukweli na wasaidizi wako

    Ndumbula anajaribu kudanganya ili kumtetea dadako. Mbene ni mtu wa kuzusha hasa kwa sababu ya hofu yake kisiasa. Kazi yake huyo bibi ni kufukuza kila anayemuona hayuko naye vizuri. Labda nikukumbushe tu kuwa mwaka 2014 alimfukuza DED Siliwa kisa aliomba uwanja wa kujenga akamegewa kidogo wakati...
  9. R

    Uhusiano wa Zitto Kabwe na Tundu Lissu hauna maslahi kwa Upinzani

    ZITO pekee yake ni sawa nacDM 1000000, ANAWAGEUZA KAMA BAMIA.
  10. R

    Kubakia madarakani kwa Mbowe na timu yake: CHADEMA jitokezeni mseme kama hakuna uchaguzi na hamna mbadala wa Mbowe

    Elimu ya tanzania ni ya kukaririshwa ndio maana wapo wanao amini kukaa muda mrefu madarakani siyo demokrasia bali ni udikiteta. KUNA siku nitakuja kutoa somo la demokrasia. Lakini mtambue kuwa hata mtu akikaa madarakani hata kwa miaka 50 lakini ni kwa ridhaa ya watu basi hiyo ni demokrasia...
  11. R

    Rashidi Matumla aliyeiletea heshima Tanzania miaka hiyo

    Daaaa umeandika andiko la kusikitisha. Mungu amuvushe salama, nitampigia. Unaitendea haki akili yako. Siku hizi unaandika mambo makubwa.
  12. R

    UVCCM wajifungia Dodoma

    Kale kakijana kanaitwa bomboko KALITEULIWA KUWA MUHAMASA AKAANZA KUTENGENEZA GENGE LA KUMPINDUA MWANGWALA. Walikatengua onsport
  13. R

    Mbeya Mjini inastahili kuongozwa na Mbunge mwenye uadilifu

    Kigoma mumeendelea kuliko Mbeya? Bora ungetolea mfano kwetu hapa mwanza. Id inasomeka KIGOMA NA MBEYA,
  14. R

    Dkt. Tulia Ackson chaguo sahihi Mbeya mjini

    ID imesimamakama ya mtoto wetu wa Kigoma.
Back
Top Bottom