Kwanini wapinzani wa CCM wanasema CCM imejichimbia kaburi?

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Jul 17, 2019
322
645
Nimesoma maandiko mengi ya wadau wa vyama vya siasa na wafuasi wao bada ya CHADEMA NA ACT Wazalendo kujiondoa kwenye uchaguzi unaofanyika tr 24 ya mwezi huu. Hoja nyingi nilizosoma wengi wameandika CCM imejichimbia kaburi.

Nimesoma Twitter ya Jussa pia nimeona amenukuu hivyo hivyo kuwa CCM wamejichimbia kaburi. Msingi wa nukuu zao ni kuwa CCM inahusishwa na majina ya wagombea hao kuenguliwa kwenye mchakato kwa kukosa sifa zilizoainishwa kwenye kanuni za uchaguzi.

Nimejiuliza, kama lengo la upinzani ni kuhakikisha kuwa CCM inaondolewa madarakani, sasa hofu ni ya ni ya nini kwao kwa CCM kujichimbia kaburi? Ni nini kinawatisha kwa CCM kujichimbia kaburi? Wanataka CCM isijichimbie kaburi na iendelee kuwa imara kwa mapenzi yapi kwao?

With a simple arguent, nimetambua kuwa CCM haijichimbii kaburi bali huenda inazidi kukita mizizi yake chini zaidi. Nimekuja na assumptions hizo kwa kuwa ninatambua upinzani hawawezi kuishauri CCM kuendelea kusalia madarakani, labda iwe ni hatua ya juu zaidi ya udhaifu wa Upinzani. Upinzani imara unapaswa kuchekelea CCM inapokufa na siyo kuishauri kuokoka kwenye kifo.
 
Hayo maneno yalitamkwa tangu 1994mpaka sasa CCM ipo juu inwabatua kama mademu wa mgomani ,CCM ipo kama jabari

Asante Mungu kwa kutuletea jpm


State agent
 
Daaaa hii hoja labda anaweza kuijibu Mayalla tu, wengine hapa watarukaruka kama chura kwenye maji.
 
Jussa anawahadaa tu Chadema. Wao huko Zanzibar wamesusia chaguzi zaidi ya tatu na bado CCM iko imara sembuse huu?
 
Nimesoma maandiko mengi ya wadau wa vyama vya siasa na wafuasi wao bada ya CHADEMA NA ACT Wazalendo kujiondoa kwenye uchaguzi unaofanyika tr 24 ya mwezi huu. Hoja nyingi nilizosoma wengi wameandika CCM imejichimbia kaburi.


Nimesoma twetter ya MH Jussa pia nimeona amenukuu hivyo hivyo kuwa CCM wamejichimbia kaburi. Msingi wa nukuu zao ni kuwa CCM inahusishwa na majina ya wagombea hao kuenguliwa kwenye mchakato kwa kukosa sifa zilizoainishwa kwenye kanuni za uchaguzi.


Nimejiuliza, kama lengo la upinzani ni kuhakikisha kuwa CCM inaondolewa madarakani, sasa hofu ni ya ni ya nini kwao kwa CCM kujichimbia kaburi? Ni nini kinawatisha kwa CCM kujichimbia kaburi? Wanataka CCM isijichimbie kaburi na iendelee kuwa imara kwa mapenzi yapi kwao?

With a simple arguent, nimetambua kuwa CCM haijichimbii kaburi bali huenda inazidi kukita mizizi yake chini zaidi. Nimekuja na assumptions hizo kwa kuwa ninatambua upinzani hawawezi kuishauri CCM kuendelea kusalia madarakani, labda iwe ni hatua ya juu zaidi ya udhaifu wa Upinzani. Upinzani imara unapaswa kuchekelea CCM inapokufa na siyo kuishauri kuokoka kwenye kifo.

Kwa aina ya Unafiki uliopo huko katika Vyama vya Upinzani nchini Tanzania huenda CCM ikatawala hadi pale dunia itakapopinduka.
 
Jussa ni kibaraka wa maalim seif,maalim seif anataka kuvunja muungano

Ukiunganisha doti unapata wasaliti wa Nchi
 
Back
Top Bottom