UVCCM wajifungia Dodoma

UVCCM wajifungia Dodoma

Mdaharo kwa wanasiasa ni muhimu kwa wananchi kumufahamu mwana siasa anayetaka uongozi kama atakuwa kiongozi imara anayeweza kujibu hoja na kutatuwa changamoto za wananchi.
 
Kutoka Dodoma

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komred kheri Denice James leo ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa Katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.

Pia jumuiya hiyo imewateua Ndugu Leonard Singo kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi, Ndugu Bilal Maulid kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya Oganaizesheni na Ndugu Asha Feruz kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya vyuo, vyuo vikuu na uhusiano wa kimataifa pamoja na Ndugu Lusekelo Nelson kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uchumi, uwezeshaji na mipango.



View attachment 1210665


Uwiano wa wajumbe ni ngapi hapo ndani? Tulikubaliana 50 kwa 50
 
Huyo Leonard Singo naona wamemkumbuka kidogo atapunguza kujipendekeza fesibuku!
 
Kale kakijana kanaitwa bomboko KALITEULIWA KUWA MUHAMASA AKAANZA KUTENGENEZA GENGE LA KUMPINDUA MWANGWALA. Walikatengua onsport
 
Kutoka Dodoma

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komred kheri Denice James leo ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa Katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.

Pia jumuiya hiyo imewateua Ndugu Leonard Singo kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi, Ndugu Bilal Maulid kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya Oganaizesheni na Ndugu Asha Feruz kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya vyuo, vyuo vikuu na uhusiano wa kimataifa pamoja na Ndugu Lusekelo Nelson kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uchumi, uwezeshaji na mipango.



View attachment 1210665
Mbona nyuso zao ni kama kuna kitu wanakiogopa vile? Yaani nyuso siyo kunjufu kabisa. Ni kama kuna kitu mbele hawakielewielewi vile!
 
Kwa muonekano tu kila mmoja kichwani ni kama anajiuliza, "Hivi mimi nitapata nafasi gani vile ya uongozi"? Lini? "Mbona naona kama siku zinaisha sijapata nikitakacho? Nani nijipendekeze kwake? Nani mwenye mamlaka anayenifahamu vizuri?
 
Hiii kwanini kusitokeee taasisi moja ikakutanisha Bavicha na Uvccm katika mudahalo wa kisiasa na uchumi?? Tukaona uwezo wa hizi idara
Amin amin nakwambia mkuu hakuna mwana UVCCM atakaye kwenda kwenye hui mdahalo,uwezo wao kiakili ni mdogo mdogo mno.
 
Back
Top Bottom