ROMUARD KYARUZI
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 683
- 465
Mdaharo kwa wanasiasa ni muhimu kwa wananchi kumufahamu mwana siasa anayetaka uongozi kama atakuwa kiongozi imara anayeweza kujibu hoja na kutatuwa changamoto za wananchi.
Kutoka Dodoma
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komred kheri Denice James leo ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa Katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.
Pia jumuiya hiyo imewateua Ndugu Leonard Singo kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi, Ndugu Bilal Maulid kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya Oganaizesheni na Ndugu Asha Feruz kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya vyuo, vyuo vikuu na uhusiano wa kimataifa pamoja na Ndugu Lusekelo Nelson kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uchumi, uwezeshaji na mipango.
View attachment 1210665
Usipende kufananisha BAVICHA na makundi ya kihuni na kijinga!Hiii kwanini kusitokeee taasisi moja ikakutanisha Bavicha na Uvccm katika mudahalo wa kisiasa na uchumi?? Tukaona uwezo wa hizi idara
Mbona nyuso zao ni kama kuna kitu wanakiogopa vile? Yaani nyuso siyo kunjufu kabisa. Ni kama kuna kitu mbele hawakielewielewi vile!Kutoka Dodoma
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komred kheri Denice James leo ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa Katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.
Pia jumuiya hiyo imewateua Ndugu Leonard Singo kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi, Ndugu Bilal Maulid kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya Oganaizesheni na Ndugu Asha Feruz kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya vyuo, vyuo vikuu na uhusiano wa kimataifa pamoja na Ndugu Lusekelo Nelson kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uchumi, uwezeshaji na mipango.
View attachment 1210665
Nimekupa like hapo mkuu, kimsingi hii hoja yako ina mashikoHiii kwanini kusitokeee taasisi moja ikakutanisha Bavicha na Uvccm katika mudahalo wa kisiasa na uchumi?? Tukaona uwezo wa hizi idara
Amin amin nakwambia mkuu hakuna mwana UVCCM atakaye kwenda kwenye hui mdahalo,uwezo wao kiakili ni mdogo mdogo mno.Hiii kwanini kusitokeee taasisi moja ikakutanisha Bavicha na Uvccm katika mudahalo wa kisiasa na uchumi?? Tukaona uwezo wa hizi idara
Unaona, huyu ni mmojawapo wa anayetarajiwa kushiriki kuwakilisha UVCCM!!! Kwa akili hii unategemea atahudhuria kweli!?Ba-vichaa wanapigwa 10 - 0