Naona Mbeya sasa mnaanza kujielewa.Wadau. Juhudi za Mhesh Naibu Spika Niza kupongezwa Sana.
Naamini kabisa WanaMbeya Mungu anakwenda kujibu maombi yao.
MAPENZI NA MAHABA YENU NI KULE KWA JIWEWadau. Juhudi za Mhesh Naibu Spika Niza kupongezwa Sana.
Naamini kabisa WanaMbeya Mungu anakwenda kujibu maombi yao.
Wacha kutusemea, mchukue wewe Tulia Ackson kwenye jimbo lako. Tutabaki na Mbeya yetu.Naona Mbeya sasa mnaanza kujielewa.
Mjaribuni Dr Tulia ili muone maendeleoyatakavyo kuja kasi.
Mmekaa na kudumaa na Sugu hadi mnakuwa kichekesho.
Tatizo watu wa Mbeya huwa hawasafiri kuona mikoa mingine inavyopiga kasi ya maendeleo kwa kufanya maamuzi sahihi.
...namkubaligi achezapo ule wimbo wa NYEGE NYEGEZIIiiiiiii.....
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Hv yule aliyekuwa akiimba nyegezi au mwingne?
Sugu na ule mkopo wake CRDB aliojenga hotel sijui itakuwaje na ubunge unapotea mwakani, ile hotel lazima ipigwe mnada
Acha ushamba mkuu, msiwe ving'ang'anizi wa boti linalozama.Wacha kutusemea, mchukue wewe Tulia Ackson kwenye jimbo lako. Tutabaki na Mbeya yetu.
Kwa hiyo huyo kinyago unayeye mtetea ndiyo ataleta barabara?Acha ushamba mkuu, msiwe ving'ang'anizi wa boti linalozama.
Nimefika Mbeya barabara kuu ya kuingia imesingiziwa lami.
Funguei macho toka usingizi wa pono kisiasa.
Hata Kikwete alisema ukutaka kula , lazima uliwe.
Nenda ukamuoe akupikie na kukufulia kama umamtakaNaona Mbeya sasa mnaanza kujielewa.
Mjaribuni Dr Tulia ili muone maendeleoyatakavyo kuja kasi.
Mmekaa na kudumaa na Sugu hadi mnakuwa kichekesho.
Tatizo watu wa Mbeya huwa hawasafiri kuona mikoa mingine inavyopiga kasi ya maendeleo kwa kufanya maamuzi sahihi.
Sugu na ule mkopo wake CRDB aliojenga hotel sijui itakuwaje na ubunge unapotea mwakani, ile hotel lazima ipigwe mnada
Una kura yako moja tu, kaitumie ikupikie.Nenda ukamuoe akupikie na kukufulia kama umamtaka
selfish politicians.Wadau. Juhudi za Mhesh Naibu Spika Niza kupongezwa Sana.
Naamini kabisa WanaMbeya Mungu anakwenda kujibu maombi yao.
Kumbuka wabunge hupewa kiinua mgongo cha million 500/=Sugu na ule mkopo wake CRDB aliojenga hotel sijui itakuwaje na ubunge unapotea mwakani, ile hotel lazima ipigwe mnada