Recent content by rayo

  1. R

    Tofautisha member wa JF na wa FB

    Acha uongo na kujifanya ubora sana kwa hiyo wote waliokoo fb ni wanawake na watu wa vyuo vya kata?naona umekosa cha kuongea kaoge kwanza ndio uje uchangie
  2. R

    Hii ni aibu kwa polisi:Hadi leo hamna camera ktk operation?hata tukio mliloplay role hamna picha?

    Unishangaza sana unaposema sijui huwa wakipata pesa wanaishia kununu sabufa au seapiano?kati ya watu wazuri na wafuatiliaji wazuri wa movie ama drama zote zinaxohusiana mapigano ya aina yoyote ya silaha ama ya ngumi pia kati ya watu wanaofuatilia movie za kipelelezi si wengine ni polisi.Tatizo...
  3. R

    Ni kwanini hospitali ya mt. meru imekataa kuwapokea majeruhi wa mlipuko wa mabomu, mkutano wa chadem

    Huduma zinatolewa kama kawaida sababu majeruhi wako wa viwango mbali mbali basi wengine walishauriwa wapelekwe selian.ndugu zangu tuache uchochezi manesi na madaktari hapa mount meru hospital wanatoa huduma sitahiki uongo tuache
  4. R

    Tukio la majambazi kupora fedha Ubungo Mataa

    Hao polisi kwani wana mioyo ya plastiki.hawafii sio kwenda kichwa kichwa tu kama unaenda chooni.ulitegemea anyooshe mikono juu kama anasimamisha gari wakati hiyo ni bunduki.pole kwa majeruhi.
  5. R

    VIDEO-Zitto: Watu wa Mtwara wamejifunza kwa yaliyowakuta watu wa Kanda ya Ziwa

    Hapa sio swala la kuwalaumu wana mtwara hata kidogo.tujiulize nyuma ya pazia kuna nini!?kuna watu ambao wanachochea hiki kitu kwa maanufaa binafsi.Tanzania tumejaliwa gesi,uranium.hivi vitu vinawatamaanisha sana nchi kubwa dunia kuwa navyo ama kusafirisha kwenda kwao.tutachonganishwa na kujazwa...
  6. R

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Hapo ifike mahali pia tujiulize mara mbili mambo yanayotokea siwabezi watu wa mtwara kakini kunauhusiano gani kati ya gesi na daraja?vipi kuhusu mahakama?
  7. R

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Hali sio nzuri ktk usalama wa nchi yetu hasa ndugu zetu wa mtwara sawa wanaweza kuwa wamechoshwa na ahadi zisizotimizwa na kuonekana kama wametengwa na serikali yao.hatukati inawezekana kweli na kwa hali ikiyopo sasa serikali imejifunza kitu.Kilichopo sisi wanaJF tusishabikie vurungu na...
  8. R

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Kivipi tena?mimi sidhani unachoongea ni cha ukweli.
  9. R

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Umemaliza mama, Asante sana.kati ya magosha ga g'hana basukuma bakwandya.Hilo halina ubishi miili iliyojengeka,nguvu za kutosha.hakunaga kuchoka hadi kieleweke.utafutaji jadi yetu.hatuna ubaguzi hatujinyimi wewe.
  10. R

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Haya bwana ulionaje huo utamu.maana mananii makubwa ndio habari ya mjini inaonekana unataka tena na tena.
  11. R

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Najua unaongea tu bila kuwa na uthibitisho wowote ule.we as sukuma man,we know how to care! how to handle a girl!also hospitality ni jadi yetu.Inawezekana wewe ndio -----.jiangalia sana.
  12. R

    Naweza kusoma nini na chuo kipi kwa division four point 33

    Hakuna wasiwasi mpeleke shule moja inaitwa St.Joseph iko maeneo ya ngarenalo kama zimo lazima afaulu.
  13. R

    Mate ya mpenzio...

    Hiyo kissing ya kidigital bwana usimlaumu sana yeye hivyo ndivyo kaambiwa ni ujanja.hata kaelimu kidogo unatoa before utakosa lips wewe!!!!!!!!!!!
  14. R

    Mate ya mpenzio...

    Duh!kwa sababu kitendo hiki kinafanyika mkiwa kwenye feeling tofauti mimi kotekote nakunywa iwe juu au chini.haaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaa
  15. R

    Nipokeeni waungana wenzangu..!

    Karibu sana kwenye jukwaa la uwazi bila kificho hapa unaongea ya moyo mwako bila kupepesa macho wala woga wowote.Tupo ili kujuzana na kuelibishana pia na kubadilishana karibu.
Back
Top Bottom