Kweli kuna utofauti kati ya members wa JF na wa FB ....wanaotoka FB kuja huku angalia nyuzi zao utajua
Unamaanisha "wale wa JF hawatumii FB???"
Yani mnaniboaga mkileta ishu zenu za kugrade binadamu wenzenu, no one is perfect and JF doesn't make u any better than those who don't use it!
fb ni ya wanawake, wanaume wenye tabia za kike na wanafunzi kuanzia primary school mpaka baadhi ya vyuo vya kata, jf= great thinkers, think tanks, interlectuals,
CnaJina:Hapa kuna pointi sana kwa asomaye na kuelewa!Kudos
fb ni ya wanawake, wanaume wenye tabia za kike na wanafunzi kuanzia primary school mpaka baadhi ya vyuo vya kata, jf= great thinkers, think tanks, interlectuals,
baeleze baelewe...kugrade binadamu wenzenu, no one is perfect and JF doesn't make u any better than those who don't use it!
Mhhhhhhh..?!?!?!?!?....fb ni ya wanawake, wanaume wenye tabia za kike na wanafunzi kuanzia primary school mpaka baadhi ya vyuo vya kata, jf= great thinkers, think tanks, interlectuals,
Aaaa jaman msitucheke ndo hatua hizo,mctuchoke
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Wa FB:Wa FB wana nini?
'
Na wa JF wana nini?
Unamaanisha "wale wa JF hawatumii FB???"
Yani mnaniboaga mkileta ishu zenu za kugrade binadamu wenzenu, no one is perfect and JF doesn't make u any better than those who don't use it!
Si kila unachokijuwa umekipitia, vingine tunavijuwa kwa kuambiwa, kusoma sehemu flani au kushuhudia wengine yakiwatokea... Kwa mfano mimi, wewe na mwingine anayesoma hapa, tunafahamu kuwa ukigongwa na gari au treni unaweza ukafa. Je kati yetu kuna aliyewahi kugongwa na vyombo hivyo vya usafiri na akafa, halafu akarudi hapa kuja kutupa ushuhuda huo??wewe umeijuaje FB,,,kama si mdau!!!!!
Wa FB:
Mara nyingi baadhi ya maneno kwenye cred zao, huyaandika kwa namba au vifupi ambavyo co rasmi. Xaxa hii huwa co 2 ngumu kwa baadhi ya wa2, kama xio wana JF walio wengi, baili hata kwa wana FB wenzao. Vlevle ukizdeku ctory kwenye thread zao, zinakuwanga kibengazi sana kiac kwamba cio 2 unaweza uxielewe ki2 mpaka uchambue vina mar kazaa, unaweza pia ukaamua uxiuxome kabxa uz huo, maana utaixhuurixha akill yako kwa nguv nyingi bila xabb za mcngi co ukaona ni bora uipotezee...
Wa JF:
hawa huwa hawana maneno mengi yasiyo rasmi katika ugha husika wanapoelezea jambo. Lugha yao huwa inafuata sana panctuation kama lugha husika inavyotaka. Na huwa na mpangilio wa maneno unamvuti na kumfanya msomaji aelewe na kuvutiwa na anachokisoma.
Si jambo la ajabu, padre kumsupport padre mwenzie au shehe kumsupport shehe mwenzie kama ilivyo kwa mwizi kumsupport mwizi mwenzie.... kwani hao wote wanaoungana mkono ni wa kundi moja na wanafanana katika vitu vingi. Hivyo hata kwako, kutoa support kwa mwenzio juu ya jambo hilo si ajabu. One should expect FB members to support each other... Tutashangaa sana ikiwa kinyume chake, na tutaitana 'matreita' kama hatuungani mkono tulio wa aina na haiba inayofananaI support you
Ilikuwaje ukashindwa kujisajili kwa jina hata la kijijini unakotoka ukaona ukopi na kupesti jina kwa kufupisha maneno ! Invisible Paw hii imekaaje !Ukizingatia hao "great thinkers" walijua JF kwa kupitia facebook page yao