Unanikumbusha demu mmoja nilitaka nimpige romance akatoa ulimi wote na kuachama mdomo ile namsogelea si akaniponga na meno yake kwenye lipsi zangu ,kah! Nilijutaje nikavumilia maumivu sikumwambia kama kaniumiza.
When u KISS someone dat u LOVE, for sure u will exchange saliva.
Now imagine his/her saliva in a cup, can u drink it??
nimeshindwa kuvumilia kicheko nimecheka kwa nguvu mno hahahahahahahaaaaaaaaaaa! daaah humu ndani raha tuu wacha tuwe busy na kusoma michango ya watu maana tunaburudika na siku inaisha hehehehehheeeeee, kukiss nako kunahitaji utaalam sasa kiss mdomo wote wazi kama unalishwa keki khaaaaa! mi ingenikuta ningecheka kwanza na kiss ingeishia hapohapo na angeniuliza ningemwambia nimekumbuka kichekesho cha jf hahahahahahaaaaa thanks KUNGURUHAFUGIKI umenichekesha na hivi napenda kucheka ntacheka hadi jioni.
Acha umbea mwanamke
Na kweli mwenzangu data tuu kwani maisha yenyewe hayasomeki.Bange bange bange umesabisha mi nidateeee
Na kweli mwenzangu data tuu kwani maisha yenyewe hayasomeki.
Sasa kipi bora kubwia ya juu au ya chini!!
Unanikumbusha demu mmoja nilitaka nimpige romance akatoa ulimi wote na kuachama mdomo ile namsogelea si akaniponga na meno yake kwenye lipsi zangu ,kah! Nilijutaje nikavumilia maumivu sikumwambia kama kaniumiza.