Moderator tusaidie kupata fact kutoka vyanzo sahihi
Jumla ya mawaziri + manaibu na jumla ya makatibu na manaibu katibu wakuu kwa serikali ya awamu ya nne na ya tano. Hii itapunguza mabishano
"NANI ANALAZIMISHA MUUNGANO? ILI APATE NINI?" swali mengine ya kujiuliza ni haya hapa Nani anaukataaa Muugano? ili Apate nini? Just thinking big on the matter!
I wish mtalaam na mwelevu wa mambo ya katiba anisaidie nami pia! Tunaposema hili jambo/haya mambo ya Muungano na /jambo mambo yasiyo ya muungano nini maana, dhana (logic ) yake. tusaidieni tafadhari jamani
Jamani naomba tukumbushane alichosema mkapa. Alisema vicent
si mtoto wa mwalimu Nyerere
si mtoto wa familia ya Mwalimu Nyerere
kama 1 ndio sahihi then he Mkapa was right!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.