Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Dah!!!! Wakina Msangi walivyomkarabati uso!!! huwezi amini kumbe ni kijana mzuri tu kwa sura.Dr. Ulimboka Mwakingwe Ghwa Kukajha
Huyu wa tatu kutoka kushoto (baada ya Dr. Uli) mbona kama yeye kafurahia kuja ikulu tu?? Yaani anaonyesha kasahau matatizo ya wagonjwa kabisa!!!! Kha!!! nashindwa kuelewa nimuamini nani!!!!!!!!!!!!HAPA Ahmed Msangi amejificha wapi??
MI6 umenifungua macho! Dr Deo hakuchukua hatua yeyote kuhusiana na sakata hilo. Jambo hili linaacha maswali mengi yasiyo na majibu. Katika hali ya kawaida ripoti ya kutekwa Dr. Ulimboka zingepatikana hata kabla hajaokotwa msitu wa Pande. Kama kweli Deo angekuwa makini angewataarifu madaktari wenzake kuhusu tukio hili lisilo la kawaida. Kwa mshangao, hakufanya hivyo, nasi twauliza, kulikoni?
Dah!!!! Wakina Msangi walivyomkarabati uso!!! huwezi amini kumbe ni kijana mzuri tu kwa sura.Dr. Ulimboka Mwakingwe Ghwa Kukajha
We acha uongo na speculation zako. Deousiku ule hakulala, alitoa taarifa kwa madaktari wote usiku ule ule na kwa watu wa human rights na polisi. Jibu alilopewa na polisi ni kuwa "Nyie msihangaike, mtamwona tu asubuhi" kwa tafsiri kuwa "mtamwona tu asubuhi mabwepande akiwa amekufa". Au na wewe ni mpiga jaramba kama Kova na kukamata vichaa barabarani huku ukiwasingizia kumshambulia ulimboka??
Is it? Dr. Stephen Ulimboka au, Ulimboka Mwakingwe? inakuwakuwaje, malafyale, have a self assessment.