Wanajamii nawasalimu.
Kila mtu huwa na Ndoto na njozi.Kwa Muda wa wiki mbili sasa
nimekuwa nikiota ndoto ya ajabu.Ndani ya ndoto hiyo namuona binti mrembo akiwa amesimama kando ya bahari huku gauni lake la samawati likipeperushwa na upepo mwanana wa bahari.Sura yake ni ya mviringo na...
Wanajamii nawasalimu.
Kila mtu huwa na Ndoto na njozi.Kwa Muda wa wiki mbili sasa nimekuwa nikiota ndoto ya ajabu.Ndani ya ndoto hiyo namuona binti mrembo akiwa amesimama kando ya bahari huku gauni lake la samawati likipeperushwa na upepo mwanana wa bahari.Sura yake ni ya mviringo na...
Mama aliniambia nisifurahi wakati adui yangu akipata taabu.Leo nimeamua kuachana na huo ushauri wa Bi mkubwa na ninafurahia jinsi CCM wanapata tabu.Wanaumizwa sana na upepo wa Chadema.Mama nisamehe kwa hili lazima nifurahi.
Lazima jazba zipande.Mi napanda daladal na Mwanangu alafu tunashuhudia vitu kama hivyoo!...Eeee Mungu msaidie Mwanangu maana huko tunakoelekea ni pabaya zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.