Picha: DK. Slaa aivuruga CCM Ruvuma

Picha: DK. Slaa aivuruga CCM Ruvuma

Kitufe cha like kimeenda wapi!!

Piawawekkitufe ca kuto like bana...
 
Picha za mwaka 2010 zinatumika leo kuhadaa watz mitandaoni na kwenye media

Mbona hutuletei habari za Kinana na Nape wakiimarisha chama huko mikoani?? Au baada ya wao kugeuka mizigo ajira yako imeisha
 
Ombi kwa DR.Slaa na Chadema,baada ya 2015 rudisheni mali zote za umma kama viwanja na majengo walioyapora ccm na kuwachukulia hatua kali mafisadi wote kuanzia na ile list of shame ya Mwembeyanga.
 
huyu mzee amezeeka sana basi tu ni kig'ang'anizi wa siasa au labda chama ni cha jamii yake. Nadhan 2015 ndo mgombea urais wa cdm!

Halafu cha ajabu ni hiki. Yeye mwenyewe kavurugwa. Sijui anawezaje kuivuruga CCM.
 
Mama aliniambia nisifurahi wakati adui yangu akipata taabu.Leo nimeamua kuachana na huo ushauri wa Bi mkubwa na ninafurahia jinsi CCM wanapata tabu.Wanaumizwa sana na upepo wa Chadema.Mama nisamehe kwa hili lazima nifurahi.
 
kiongozi alie wafumbuwa macho watanzania,
 
Duu CDM mtaahangaika sana mwaka huu kila kukicha kauli mbiu sawa sasa bado Tanzania Daima!

Mtakuja kujutia matokeo yake 2015 na lazima muangukie puwa mwaka huu! Malizieni hela zetu za ruzuku hizo ofisi zenu hata pen hamna!

sema shikamoo CDM!!!!
 
Picha za mwaka 2010 zinatumika leo kuhadaa watz mitandaoni na kwenye media

we pimbi kweli..2010 msigwa alikuwepo kwenye kamoeni za Dr.Slaa au unajifurahisha tu ?mnadhani hizi ni zile kampeni zenu za kula wali na maharage
 
Back
Top Bottom