Habari..
Mpaka sasa naona bado wizara imenyamaza haitoi tamko lolote kwa sisi ambao tumechaguliwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa tunaanza kuriport lini mwenye taarifa yyt naomba anijuze
Hata usipofanya hard reset ni rahisi kukitoa...iko hv hakuna program yoyote ya ku hack inaweza kufanya kazi pasipo kuomba ruhusa ya devise administrator and accsessibility....jinsi ya kukiondoa hcho ki program n kuondoa tiki kweny dvc adminstrt na accsesiblty hapo utaweza ku uninstall.
Fanya ukaguzi mzima wa simu yako...hakikisha unatumia email yako na si vinginevyo.....halafu ingia setting kisha angalia kama device administrator imesetiwa find my device ukikuta nyingine option ondoa tiki...kisha kagua accessibility kama kuna service ambayo ipo stored halafu imepigwa tiki...
Ingia setting kesha nenda storage halafu bonyeza sehemu iliyoandikwa clear cache....itakubali ila ikiendelea kukataaa ingia playstore kisha search app ambayo haina mb nyingi kisha jaribu ku install
Skia achana n fikra z kuajiriwa cha kufanya jiajiri watu wengi mtaani simu zao zina stack wengine hata kuweka app kwenye simu hawajui...unaonaje ukatengeneza bonge 1 l tangazo halafu ukabandika mtaani utapiga pesa y kutosha....Ndio kz yngu hyo nimejiongeza kama hujui pa kuanzia n PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.